Arsenal
Senior Member
- Aug 12, 2008
- 190
- 71
Ivi izi show rooms za magari amabazo kila kukicha zinafumuka is not about time serikali ikazichunguza???mana to me ni kama some type of money laundering techniques!!!mana ukiwa na USD 1-5M ivi na huwezi kuweka benki what will you do?
Zamani walikuwa wanajenga nyumba lakini hii imestukiwa kirahisi so nadhani wamehamia kwenye hii biashara mpya!!
Takukuru,TRA please investigate!!
Zamani walikuwa wanajenga nyumba lakini hii imestukiwa kirahisi so nadhani wamehamia kwenye hii biashara mpya!!
Takukuru,TRA please investigate!!