MCHUNGAJI NGWAJIMA TUNAOMBA MAELEZO
Ni kweli kuna mtu alikuja kutubu na kueleza dhambi zake kwako na ukamtosa kwa kumpeleka polisi? iweje aje kanisani kwako na si kwingine au ndio uhusiano ulionao na chama na serikali, maana hata mkutano wa jangwani (cdm square) wa kuijibu chadema ni vyombo vyako vilitumika. umeamua na hili kuwasaidia kulibeba pia ikiwa ni mchango wako kwa hii serikali. tunaomba majibu kama si leo kesho ibadani kwako tupime.
KAMA HAYA NI KWELI NA HUTATOA UFUMBUZI LEO;
WAUMINI WA NGWAJIMA INABIDI TUMSUSIE KANISA LAKE- SHOW SOME LOVE KWA DR. ULIMBOKA KWA KUTO KWENDA KANISANI KWA NGWAJIMA KESHO.
Ni kweli kuna mtu alikuja kutubu na kueleza dhambi zake kwako na ukamtosa kwa kumpeleka polisi? iweje aje kanisani kwako na si kwingine au ndio uhusiano ulionao na chama na serikali, maana hata mkutano wa jangwani (cdm square) wa kuijibu chadema ni vyombo vyako vilitumika. umeamua na hili kuwasaidia kulibeba pia ikiwa ni mchango wako kwa hii serikali. tunaomba majibu kama si leo kesho ibadani kwako tupime.
KAMA HAYA NI KWELI NA HUTATOA UFUMBUZI LEO;
WAUMINI WA NGWAJIMA INABIDI TUMSUSIE KANISA LAKE- SHOW SOME LOVE KWA DR. ULIMBOKA KWA KUTO KWENDA KANISANI KWA NGWAJIMA KESHO.