Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
mi naona mpira wetu ulichezwa na vyombo vya habari na wanasiasa,yaani vichwa vya habari siku hiyo vilikuwa vinaudhi sana,utafikiri mambaz walikuwa hawataki ushindi...ila kubwa kuliko yote ni kuwa KAMA tungeshinda basi mabo yote ya msingi na mustakabali wa nchi hii yanefunikwa kabisaaaaaaaaaaa!!!!!!!duh kumbe mungu naye anaona...