mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,738
- 35,155
Precocious energy👣🤣🤣Mimi situmii hasira bali natumia facts, huu ni muandiko tu ndio unafanya uone hivyo.
Google kuwa wafanya biashara haimaanishi wanapata faida directly kutoka kwako mwafrika.
kukupa access na data zao bure tayari ni huduma tosha kwako na ni msaada tosha kwa waafrika ambao kwa asilimia 90 ni masikini.
matter of fact Afrika inafaidika na kuhiitaji zaidi google kuliko google kufaidika na uwepo wa afrika.
now nimejibu maswali yako it's your turn to answer my questions if you can't then I better stop wasting my precious energy.