LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 13,217
- 17,892
itakuwa hoiKwa hiyo misikiti yenyewe Itakuwaje maana umeangalia upande mmoja tu
itakuwa hoiKwa hiyo misikiti yenyewe Itakuwaje maana umeangalia upande mmoja tu
halitasalia jiwe hata mojaMkuu umesahau na misikiti, na nyumba nyingine za ibada kama za mabuda na wengineo, naona umeamua kukomaa na wakristo pekee.
hizi siyo taasisi za miaka ya sitini.Taasisi hizi sasa hivi ni tajiri sana zina uwezo wa kulipa kodiUkiona mambo kama haya unajiuliza haya maandishi yanaihusu Tanzania au inchi gani? Nitarudi baadae.
Kulikua na sababu ya kuquote uzi mrefu hivo alafu uandike maneno matano tu?walipe tu maana wameishakuwa matajiri
waganga wamewahi kujenga mabenki?umesahau na waganga wa kienyeji kwenye matambiko huko.
Zile ni Pesa za Mungu na Miungu...
waganga ni waganga njaa tuhizo nyingine si rasmi
bakwata siyo tajiri?misikiti hawana utajiri wa kupindukia
kivipi?misikiti si sana
nani ananufaika na utajiri wa taasisi hizi? Mbona huduma zao zinapatikana hata kwa umma? Elimu,afya hupati kwa kuwa ni mshirika wa hizi dini! Ni malipo tu ndiyo upatiwe huduma Tens ghali kuliko za umma Wanafanya biashara hawa acheni walipe kodi stahuki.Ila wanaosali humo misikitini ndio matajiri wa kupindukia ama sivyo mkuu?
Ten Tanzanian Multi-Millionaires You Should Know
Vile vile nataka kujua kama lengo hapa ni makusanyo ya kodi pekee au kudhoofisha baadhi ya dini nyingine kukua?
Na vile vile ningependa kujua kwanini ukaamua kutumia Id yenye jina la dini unayoichukia ili kufikisha ujumbe wako haramu?
hata kwa umma zipo hizo huduma.Mambo yamebadilika siku nyingi. Lengo la taasisi hizi si tena kuhubiri injili iletayo wokovu.Mambo yako wazi hizi taasisi zinafanya biashara kwa uwazi. kwa mini waendelee kusamehewa kulipa kodi? Miradi wanayoimiliki ni mikubwa na inaingiza fedha.Haya mabenki na vyuo vikuu ni mshirika gani wa kawaida anapata huduma huko? uliza ni washirika wangapi wana account za benki hizo? Masikini wanasaidiwa vipi kupata elimu kwenye shule zao?Huu Uzi umekuja baada ya makanisa kumuombea TL and therefore hizi ni siasa za maji taka! Kumbuka makanisa yamesamehewa kodi kwa huduma wayotoa mfano elimu, afya ya roho na mwili na pia uchumi.
Iwe mwisho kusamehewa kodi. Walipe tu.Wamepoteza uhalali wa kusamehewa kodi.Wanajenga mashule na vyuo halafu mshirika wa kawaida hawezi kusoma huko.Hizi taasisi za kidini ziliishaacha malengo yao ya asili siku nyingi.Sasa ni kujitajirisha na kumiliki mali.Hawa unaweza kuwakuta hata kwenye biashara kubwakubwa.BAKWATA walishabanwa umesahahu mkulu alipoingia tu.
very petty logicIla wanaosali humo misikitini ndio matajiri wa kupindukia ama sivyo mkuu?
Ten Tanzanian Multi-Millionaires You Should Know
Vile vile nataka kujua kama lengo hapa ni makusanyo ya kodi pekee au kudhoofisha baadhi ya dini nyingine kukua?
Na vile vile ningependa kujua kwanini ukaamua kutumia Id yenye jina la dini unayoichukia ili kufikisha ujumbe wako haramu?
neno moja tu linafikisha ujumbeKulikua na sababu ya kuquote uzi mrefu hivo alafu uandike maneno matano tu?
YalipeTuseme mashirika ya Dini yalipe kodi.
Hili lilikuja kipindi cha JK na Mh Mustafa Mkulo akiwa waziri wa fedha baada ya hotuba yake weeeee Makanisa yalikuja juu na yakilaaani sana kuhusu kulipa kodi.
Ilibidi waziri akarekebishe hili suala.
Hapa nikajiuliza na kiongozi wa tz ni makanisa au rais?
Hahahah1. The principle of separation of state and church (religion) is against the state interfering in religious matters. The same principle is against the church interfering in state matters.
2. The establishment of taxes regarding religious bodies will necessarily violate this principle. This is the main rationale against taxing churches. The government could inject itself in religious matters and pick winners and losers through taxation.
3. On the other hand, in realpolitik, we see churches injecting themselves in politics all the time. We alsosee politicians using the church all the time to further their political goal.
4. In reality, there is no separation of state and church. Tax exempt churches engage in political activities all the time.
5. Therefore, the rationale that established the tax exempt status of churches, for many churches, lose ground.
There should be a strict criteria showing what is to be met before a church becomes tax exempt. If a church gives the president or leader of the opposition a platform to talk politics, that church should lose tax exempt status because it is acting as a political body.
However, if a church is operating as a merely not for profit religious body doing a lot of community work, it should be exempt from taxes.