ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,649
- Thread starter
- #61
Kama utamu wenyewe ndio huo....................Sasa kilichomshangaza NDYOKO ni kitu gani...............!?
Huku sasa ni kutafutana ubaya humu ndani jamani! Sema tu mvi zako zimezidi nikiporomosha 'maneno' ntaonekana sina adabu kwa watu 'wazima'.