Peter Nyanje
Member
- Jan 15, 2012
- 43
- 18
We waache tu, watakwishaMkuu inaelekea hapo ofisini watu wanateleza tu . Hawakumbuki dawa ya penzi (kondom ) kabisa , sasa si mtaangamia ofisi nzima ?
We waache tu, watakwishaMkuu inaelekea hapo ofisini watu wanateleza tu . Hawakumbuki dawa ya penzi (kondom ) kabisa , sasa si mtaangamia ofisi nzima ?
Sijasema nachukia wanaume ofisini nafanya kilichopo kwenyejob description yangu basi
Ili niweze kufanikisha malengo ya mwajiri wangu.sasa kungonoka kunasaidia vp kumeetorganizational goals hapa?
Craaaaap .nitalisimamia hilo daima
Kwa kuwashauri hawa kina dada, mtu wa hivyo anatakiwa kukamuliwa kwanza MANII kable ya tendo la ndoa.
nini kilikufanya ukatishe maongezi ya wadada poa wa ofisini kwako Ndyoko? au ulijua stori itakayofuata itakuwa yako???:lol:
Nashangaawananidiscuss badala ya kujadili topicbwanayameisha mamaa, lol!
tena wa jazba yako.. hadi utammm...Sijasema nachukia wanaume ofisini nafanya kilichopo kwenyejob description yangu basi
Ili niweze kufanikisha malengo ya mwajiri wangu.sasa kungonoka kunasaidia vp kumeetorganizational goals hapa?
Craaaaap .nitalisimamia hilo daima
Teamwork ya kushear mwaume mmoja wanawake watano tena mwenye mke.loh kweli hii nizaidi ya team workSmile are you familiar with networking and team work. In networking and team work interpersonal skills is essential and very important ukiwa feminist hutaweza kumeet hata hizo organisational goals. Kwasababu organisation ni watu na watu ni sisi (Wanaume na wanawake). Sasa if you have issues with men mwishowe utaonekana ni feminist, extremist na mwisho wa siku unaweza kutimuliwa vile vile kazini.
Nashangaawananidiscuss badala ya kujadili topicbwana
tena wa jazba yako.. hadi utammm...
Mwanamke anadhalilishwa kwa 20% na 80% hujidhalilisha mwenyewe. Kwa mfano: Mijanamke 4 iliyokosa haya inagawa makopo yao na kuyafanya ya jiji kiasi imechomekwa mpini na njemba moja na bado haioni aibu ndio kwanza inajisifia ikiongea na kucheka, hapo utasema wamedhalilishwa au wamejidhalilisha kwa kujirahisi kama dust bin ya mtaa?
hivi kuna watu wanaodhalilishwa humu duniani kama wanawake....?
kwa hesabu ya harakaharaka......pitia MMU uone ni thread ngapi zinatuhusu......
Mwenyemaamuzi ya kumegwa ni mimi mkuu . na hilo lisingewezekanika kamwe .llabda ningeishia kukumega weweYou are very defensive smile ungelikuwa ofisini kwangu nishakumega haya bana wacha nikuache. Anyway hao wanawake wapuuzi kwanza kitendo chao cha kuliwa kavu ni kitendo cha kusikitisha. Vile vile kukaa na kuongea kuhusu wanaume ni ujinga na upumbavu sielewi mtu anayepita akiongea kuhusu wanaume au wanawake anamfaidisha nani. Who cares about the men and women you had slept with it sucks to be honest!!!!
hivi kuna watu wanaodhalilishwa humu duniani kama wanawake....?
kwa hesabu ya harakaharaka......pitia MMU uone ni thread ngapi zinatuhusu......
..Acha kusifia Ujinga Ndugu. Ukishamaliza kijiji kizima halafu, what next. Utakufa Tutakuzika, full stop.Mkuu watu wanatembea na kijiji kizima we unashangaa ofisi moja? Kua uyaone ndugu