Kweli simba mwenda pole....kama hao wadada wanatembea na wanaume wengine in the same ofice, hiyo chain itakuwa balaa Mr AIDS akipita. Du kumbe watu bado elimu ya condom imepita mbali!
My take: Jamani kina dada muwe mnatuhifadhi walau kidogo hasa kwenye mambo ya 6x6 please, msitudhalilishe kiasi hiki.
namshukuru mungu sina apetite kabisa na wanaume wa kazini.mimi nikiingia getini ni kazi tu.niko alergic kabisa tena mtu akinisalimia mara mbilimbili huwa namjengea chuki kabisa moyoni. nachukia kabisa kabisa. mapenzi si yapo bwana huko nje? sasa ona wanawake kumi kwa mwanaume mmoja tena peku jamani .na huo ukimwi ? loh
namshukuru mungu sina apetite kabisa na wanaume wa kazini.mimi nikiingia getini ni kazi tu.niko alergic kabisa tena mtu akinisalimia mara mbilimbili huwa namjengea chuki kabisa moyoni. nachukia kabisa kabisa. mapenzi si yapo bwana huko nje? sasa ona wanawake kumi kwa mwanaume mmoja tena peku jamani .na huo ukimwi ? loh
acha kabsa mkuu! kuna kijiji kinaitwa chamwino ikulu kule dodoma, niliwahi kupita kufanya survey moja, nilishangaa kila binti kati ya umri wa 15-19 ameshazaa. Nikamuuliza njemba mmoja kwanini wamewazalisha karibu mabinti wote kijijini akanambia sex kwa kutumia condom hainogi kabisa. Unategemea nini toka kwa mtu wa aina hii? Haka kadunia kanaelekea kuwa ya mimea na wanyamapori pekee!
hivi kuna watu wanaodhalilishwa humu duniani kama wanawake....?
kwa hesabu ya harakaharaka......pitia MMU uone ni thread ngapi zinatuhusu......
Duh kweli huyo jamaa ni kipanga mla watu . Alafu mkuu ndyoko inakuwaje mtu anavuna madem 5 yeye pekee yake . Nyie wanaume wengine mnafanya nini ? Mnatakiwa mfunguliwe mashtaka .
Wala wangu kila mtu ana principles zake kwenye maisha. Sipendikujidhalilisha wanaume ni wengi tu mbonasmilelicious... Umenifurahisha sana mpaka nikajiuliza hv! Have u ever been tendwad by tenderer?..
Dah!! kaka umenisaidia..... nina the same experience na akina dada wa aina hii...huwa wanatumia defensive mechanism kwa sababu hawawezi kuresist moves za wanaume....huwa wanajifanya wakali lakini huwa ni watamu na wanalika vizuri sana ukiwapatia...dah umenikumbusha mbali sana.......wale mapepe na chakaramu huwezi kuwala hovyohovyo maana wanaongea chochote hata kabla hujawatokea!!!!manake wanajichanganya tu na wanaume.....kwao siyo ishu ...kuliwa mpaka wakipenda wenyewe....Wanawake dizaini yako nawapenda sana wakali lakini hunasa katika tundu bovu. Tena according to my experience ya ukiwembe kabla sijaoa wanawake dizaini zako mkiwa kunako sita kwa sita lazima chozi likutoke mkiwa katika climax au jina jengine kilele maana huwa mnahamisha zile hasira za wanaume katika raha ya mapenzi. Na dizaini yako huwa mnapiga sana makelele kitandani na mkishanasa mnakuwa mmeganda. Wagumu kunasa ni wanawake charming na wacheshi usiwe mkali Smile shauri yako!!!!
Wala wangu kila mtu ana principles zake kwenye maisha. Sipendikujidhalilisha wanaume ni wengi tu mbona
Hii maneno nimeisikia nusu saa ilopita toka kwa mashostito watano walokuwa wanapiga domo muda huu wa kazi. Unajua tena hizi ofisi siku hizi zinatenganishwa kwa soft wood sio kama enzi zile za ukuta wa tofali za njanja. Bila kujua nipo kwa ofisi huku wamenogewa na girly story zao, wakaishia kuongelea wanaume vipanga waliopo kwa ofisi zetu. Nilifurahishwa na walivyokuwa wakimchambua jamaa yetu mmoja ambaye upole wake mepelekea 'kuwadungua' wadada wengi hapa ofisini. Aisee kumbe wanawake wanavutiwa sana na njemba walio wapole.
Baada ya kumsema sana kuhusu huo u-lava boyi wake na kugundua kuwa wanne kati yao wameshapitiwa na mshikaji, yule ambaye alikuwa hajapitiwa akawaambie wenzake 'eti Amida kaniambia kuwa jamaa ana mbegu nyingi kweli', hivi ni kweli? Mwingine akadakia, "Shosti Mwanaume ana 'manii' (hapa alitumia lile neno lenyewe haswa) nyingi yuleeeee! Muone vilevile tu!", akaendelea zaidi-yaani sina hamu mtu unashinda siku nzima zinakuchuruzika mapajani utadhani uko kwenye siku zako; hafai kabisa mwanaume yule na mkewe kazi anayo na sikushauri shosti utoke naye utaishia kushinda na shombo la sh****a siku nzima, shida gani!
Nikajidai kama nafungua mlango kuingia ofisini baada ya kuona upuuzi wao umezidi ndipo waliponong'onezana wakidai waache hizo stori eti ntawasikia bila kujua kuwa nilishawasikia from A to Z.
My take: Jamani kina dada muwe mnatuhifadhi walau kidogo hasa kwenye mambo ya 6x6 please, msitudhalilishe kiasi hiki.
Hii maneno nimeisikia nusu saa ilopita toka kwa mashostito watano walokuwa wanapiga domo muda huu wa kazi. Unajua tena hizi ofisi siku hizi zinatenganishwa kwa soft wood sio kama enzi zile za ukuta wa tofali za njanja. Bila kujua nipo kwa ofisi huku wamenogewa na girly story zao, wakaishia kuongelea wanaume vipanga waliopo kwa ofisi zetu. Nilifurahishwa na walivyokuwa wakimchambua jamaa yetu mmoja ambaye upole wake mepelekea 'kuwadungua' wadada wengi hapa ofisini. Aisee kumbe wanawake wanavutiwa sana na njemba walio wapole.
Baada ya kumsema sana kuhusu huo u-lava boyi wake na kugundua kuwa wanne kati yao wameshapitiwa na mshikaji, yule ambaye alikuwa hajapitiwa akawaambie wenzake 'eti Amida kaniambia kuwa jamaa ana mbegu nyingi kweli', hivi ni kweli? Mwingine akadakia, "Shosti Mwanaume ana 'manii' (hapa alitumia lile neno lenyewe haswa) nyingi yuleeeee! Muone vilevile tu!", akaendelea zaidi-yaani sina hamu mtu unashinda siku nzima zinakuchuruzika mapajani utadhani uko kwenye siku zako; hafai kabisa mwanaume yule na mkewe kazi anayo na sikushauri shosti utoke naye utaishia kushinda na shombo la sh****a siku nzima, shida gani!
Nikajidai kama nafungua mlango kuingia ofisini baada ya kuona upuuzi wao umezidi ndipo waliponong'onezana wakidai waache hizo stori eti ntawasikia bila kujua kuwa nilishawasikia from A to Z.
My take: Jamani kina dada muwe mnatuhifadhi walau kidogo hasa kwenye mambo ya 6x6 please, msitudhalilishe kiasi hiki.
Sijasema nachukia wanaume ofisini nafanya kilichopo kwenyejob description yangu basiDah!! kaka umenisaidia..... nina the same experience na akina dada wa aina hii...huwa wanatumia defensive mechanism kwa sababu hawawezi kuresist moves za wanaume....huwa wanajifanya wakali lakini huwa ni watamu na wanalika vizuri sana ukiwapatia...dah umenikumbusha mbali sana.......wale mapepe na chakaramu huwezi kuwala hovyohovyo maana wanaongea chochote hata kabla hujawatokea!!!!manake wanajichanganya tu na wanaume.....kwao siyo ishu ...kuliwa mpaka wakipenda wenyewe....
Sijasema nachukia wanaume ofisini nafanya kilichopo kwenyejob description yangu basi
Ili niweze kufanikisha malengo ya mwajiri wangu.sasa kungonoka kunasaidia vp kumeetorganizational goals hapa?
Craaaaap .nitalisimamia hilo daima
pelekeni kwa wake zenu huko