uuuuuuuuuuuwiiiiiiii! mi naamini bado hawajaita kwani kama wameita kinyemela chozi langu litaweza kuilaani tume hii na haitachukua time itavunjwa, ni heri waite wazi nami nisiwepo kuliko kuita secret halafu mi cpo. kitanuka na............ duuh! hebu semeni kweli wameita au tunataniana?
Du la kuku...!