utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Juliana Shonza
Chadema waanza kutapatapa Arusha baada ya mashambulizi ya ccm yaliyofanyika kona zote za kata za uchaguzi leo hii. Wamebaki kusema uwongo na propaganda mara tumezomewa,mara tumeshushwa jukwaani.,mara tumeisifu chadema jukwaani.
poleni sana safari hii hamchomoki.Tarehe 16 tusikimbiane tukutane hapahapa tupeane matokeo.
viva ccm vivaaa
Chadema waanza kutapatapa Arusha baada ya mashambulizi ya ccm yaliyofanyika kona zote za kata za uchaguzi leo hii. Wamebaki kusema uwongo na propaganda mara tumezomewa,mara tumeshushwa jukwaani.,mara tumeisifu chadema jukwaani.
poleni sana safari hii hamchomoki.Tarehe 16 tusikimbiane tukutane hapahapa tupeane matokeo.
viva ccm vivaaa