Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Hiyo taarifa imo humu toka jana imeletwa na Mungi, kweli mnatapata.
Mkuu Ritz,
hata kwenye taarifa yangu sikusema kuwa aliisifia chadema, bali nilisema kuwa Juliana Shonza alipopanda jukwaani alianza kusalimia kwa salamu za ccm, baada ya hapo akasema NDUGU ZANGU, HAKUNA CHAMA CHENYE MAFISADI WENGI TANZANIA KAMA CCM.
inawezekana ulimi uliteleza, au kabla hajapanda jukwaani alikuwa anaongea na mtu kwa simu, sasa yale mazungumzo ya kwenye simu kabla hayajatoka kwenye mawazo yake akapanda nayo jukwaani ndo ulimi ukateleza.
Last edited by a moderator: