Shomari Kapombe vs Juma Shabani -- nani ni zaidi mbavu ya kulia NBC PL?

Nani ni Bora??

  • Shomary kapombe

    Votes: 23 76.7%
  • Shaban Djumaa

    Votes: 7 23.3%
  • Nicholas Wadada

    Votes: 0 0.0%
  • Haruna Shamte

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    30
Most of Jf member especially in sports forum knew that I'm Simba Nguvu moja
hapo sawa , kufupisha stor mkuu ni kuwa ,ni vgumu kwa shabiki wa simba kumvompare mchezaj wake na wa yanga na kumpacredit wa yanga , na pia ni vgumu kwa shabk wa yanga kumcompare mchezaj wake na simba na kumpa credt wa simba, ila ikitokea wa simba kampa credt wa yanga bas ujue hyo ni really na weng wataamn lisemwalo, na upande wa pili hvyohvyo.
 
Kweli kabisa sema siku nyingine home boy usimpambanishe Kapombe asee na huyo mcheza Bolingo. Utawapa UTO vichwa hapa wajione wana squad zuri.Yani kumpambanisha mtu anayecheza CAF champions league na yule anayecheza mbunge cup ni kosa la jinai kabisa
Kumbe juma hajacheza champions ligi
 
Alikuwa hajaanza kucheza ligi ya Bara. Baada ya kuanza kucheza, Djuma anatiliwa shaka hata na wananchi wenyewe, na ndio maana unaona wanayemuimba ni Fei Toto, sio tena Djuma wa kipindi kile cha usajili
Fei toto ni nembo ya Taifa, kesi yake ni nyingine kabisa.....

Djuma ana uchezaji wa aina yake.... Kwa kuzingatia ugen wa ligi na hali ya timu(muunganiko) ni wazi ana kubwa la ziada...

Navutia sana na utulivu wake akiwa anashambulia
Muda utaongea
 
Kibwana ni bora kuliko Djuma achilia mbali Kapombe.

Yanga wangempata Manyama aliyetimkia Azam, Djuma angekaa benchi na Kibwana angerudi nafasi yake.
 
Wakati huo huo Djuma analamba mil 21 baada ya makato yote huku kapombe chini ya mil 10!
 
Kukaba
Nampa shomary 75
Nampa Juma. 45

Driblling
Shomary. 69
Juma. 75

Cross

Shomary. 80
Juma. .78

Kupanda /kushambulia
Shomary. 75
Juma 80

Balance(kupanda na kurudi)

Shomary. 90
Juma. 35

Kufunga

Shomary 60
Juma. 40

Speed

Shomary. 60
Juma 80

Nguvu (power)

Shomary. 85
Juma 80

Alama za jumla

Kapombe 594
Juma 513

Hivyo nikiwa naakili timamu na knowledge ya coaching na preferr kumtumia Shomari na Juma atakaabenchi may be Machi za mabonanza

Wewe unaonaje
Ma ta ko yako

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom