Shoka moja mbuyu chini, Lissu na Zitto kimya hadi muda hii!

Status
Not open for further replies.

Martin George

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,695
1,470
Nilitegemea hadi muda hii wale wasomi machachali pale bungeni wangekuwa wamesema japo neno, kuhusiana na uwasilishaji wa ripoti ya 2 ya makanikia ukitilia maanani huo ni uwanja wao wa nyumbani kitaaluma. Swali langu kwao ni moja tu, Acacia haijasajiliwa kisheria hapa nchini je wao kama wabunge makini na hasa Zitto aliyekuwa boss wa PAC kwa muda mrefu hawakuwahi kulijua hiki?!! Maana shoka limepigwa Brela mbuyu(Acacia) chaaaaalii.
 
CCM ni wanafiki sana. Na hakika Mungu hawezi kuwasamehe kwa maovu yote mliyoyafanya kwenye nchi hii.
 
Nilitegemea hadi muda hii wale wasomi machachali pale bungeni wangekuwa wamesema japo neno, kuhusiana na uwasilishaji wa ripoti ya 2 ya makanikia ukitilia maanani huo ni uwanja wao wa nyumbani kitaaluma. Swali langu kwao ni moja tu, Acacia haijasajiliwa kisheria hapa nchini je wao kama wabunge makini na hasa Zitto aliyekuwa boss wa PAC kwa muda mrefu hawakuwahi kulijua hiki?!! Maana shoka limepigwa Brela mbuyu(Acacia) chaaaaalii.

b7022a512aca967b0a081e66b154014c.jpg
 
Tunapotezwa na mambo binafsi badala ya umma, tunapenda vioja badala ya hoja, tunachukulia utani na mashindano yasiyo na maana kila kitu hata uhai wetu. Shame on us.
 
Yaani nyinyi badala ya kufanya mambo yenu msafishe chama chenu kilichohusika na skendo zote ndo kwanza mnawafatilia kina cdm
 
Nilitegemea hadi muda hii wale wasomi machachali pale bungeni wangekuwa wamesema japo neno, kuhusiana na uwasilishaji wa ripoti ya 2 ya makanikia ukitilia maanani huo ni uwanja wao wa nyumbani kitaaluma. Swali langu kwao ni moja tu, Acacia haijasajiliwa kisheria hapa nchini je wao kama wabunge makini na hasa Zitto aliyekuwa boss wa PAC kwa muda mrefu hawakuwahi kulijua hiki?!! Maana shoka limepigwa Brela mbuyu(Acacia) chaaaaalii.
IMG_20170612_220800_832.jpg


Toa pumba zako hapa

Eti kampuni haijasajiliwa huko DSE imefikaje??

Bank account zina fanyaje kazi ??

Wizara inayotoa leseni ilitoa leseni kwa docs zipi

Tra wanapataje kodi ya mapato kama hawana tin number??

PAYE zinalipwaje ??

Taifa LA wajinga always wajinga
 
Katika Mshangao leo ni kusikia hawana usajili so uzembe ni Serikali sio Accacia
 
Kimsingi nashangazwa sana na ujasiri wa chama tawala kujisifu katika hili.

Hivi ni kipi kilicho letwa na tume ambacho hakijazumgumzwa na upinzani?,(mapendekezo ya tume).

Miaka yote kilio iliku ni mikataba ya hovyo iliyoingiwa na watawala,pamoja na sheria mbovu za madini zilizo pitishwa na hawa wagonga meza wetu.

Kwamba wamesahau jinsi akina zitto na mnyika walivyo tolewa bungeni kwa kukutaaa huuu wizi unaoratibiwa kwa karibu na chama tawala!.
 
Nilitegemea hadi muda hii wale wasomi machachali pale bungeni wangekuwa wamesema japo neno, kuhusiana na uwasilishaji wa ripoti ya 2 ya makanikia ukitilia maanani huo ni uwanja wao wa nyumbani kitaaluma. Swali langu kwao ni moja tu, Acacia haijasajiliwa kisheria hapa nchini je wao kama wabunge makini na hasa Zitto aliyekuwa boss wa PAC kwa muda mrefu hawakuwahi kulijua hiki?!! Maana shoka limepigwa Brela mbuyu(Acacia) chaaaaalii.
kama samaki kajirusha mwenyewe hadi nje, tuongee nini tena.?
 
Katika Mshangao leo ni kusikia hawana usajili so uzembe ni Serikali sio Accacia

Which means hata nchi sio salama

MTU anafanyaje biashara miaka 18 bila usajili duh , kweli najuta kuazliwa taifa hilo
 
Nilitegemea hadi muda hii wale wasomi machachali pale bungeni wangekuwa wamesema japo neno, kuhusiana na uwasilishaji wa ripoti ya 2 ya makanikia ukitilia maanani huo ni uwanja wao wa nyumbani kitaaluma. Swali langu kwao ni moja tu, Acacia haijasajiliwa kisheria hapa nchini je wao kama wabunge makini na hasa Zitto aliyekuwa boss wa PAC kwa muda mrefu hawakuwahi kulijua hiki?!! Maana shoka limepigwa Brela mbuyu(Acacia) chaaaaalii.
Nani kakudanganya hawajasajiliwa?
Soma acha kucopy kila kinachosemwa...
 
Ni mpumbavu pekee ndie aneweza kubeza mchango wa Lisu kwenye mapendekezo ya kamati ya pili.

Nadhani kukaa kwake kimya ni kuwa ametosheka kuwa alichokuwa anakisema ndio hicho kimewasilishwa na kamati

Ngoja tumsubiri ila kwa hili nampa big up japo sijawahi kuwa shabiki wake.

Tatizo ni mikataba na watendaji wetu
 
Nilitegemea hadi muda hii wale wasomi machachali pale bungeni wangekuwa wamesema japo neno, kuhusiana na uwasilishaji wa ripoti ya 2 ya makanikia ukitilia maanani huo ni uwanja wao wa nyumbani kitaaluma. Swali langu kwao ni moja tu, Acacia haijasajiliwa kisheria hapa nchini je wao kama wabunge makini na hasa Zitto aliyekuwa boss wa PAC kwa muda mrefu hawakuwahi kulijua hiki?!! Maana shoka limepigwa Brela mbuyu(Acacia) chaaaaalii.
Ukiona mbege imetulia ujue haijaiva
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom