Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Hawana bando!
Zitto angeshapost fb
Zitto angeshapost fb
Nilitegemea hadi muda hii wale wasomi machachali pale bungeni wangekuwa wamesema japo neno, kuhusiana na uwasilishaji wa ripoti ya 2 ya makanikia ukitilia maanani huo ni uwanja wao wa nyumbani kitaaluma. Swali langu kwao ni moja tu, Acacia haijasajiliwa kisheria hapa nchini je wao kama wabunge makini na hasa Zitto aliyekuwa boss wa PAC kwa muda mrefu hawakuwahi kulijua hiki?!! Maana shoka limepigwa Brela mbuyu(Acacia) chaaaaalii.
Kweli kabisa, maana CDM ndo wametoa vibali vya makontena yabebe mchanga na pia ndo walisaini mikataba ya madimi.Kwa wakati huu ni vigumu kuitenganisha chadema na makanikia
Umeambiwa haijasajiliwa ' kisheria' na hii Tundu anaielewa tafsiri yake, wewe utakuwa mhasibu umezoea kukaririNani kakudanganya hawajasajiliwa?
Soma acha kucopy kila kinachosemwa...
Si alifanya hivyo akiwa CCM? Kama anahusika na yeye ashughulikiwe pamoja na wenzake wengine bila kumsahau na bosi wake. Wenyewe wanaimba CCM ni ile ile.........Wapumbavu ni wapumbavu tu. Kwahiyo enyi wapumbavu bado mnajiona ni sehemu ya acacia pamoja na ccm ya magufuli kuwaumbua bdo mnaona ccm ndo wapumbavu wakati nyie wezi wa Mali yetu ndo wapumbavu. Mmeng'ang'ana ccm ccm ccm....Magufuli Siyo ccm... Je sumaye wa chadema si ndo alikuwa waziri mkuu mikataba hii ikisainiwa?
CCM ndo mchawi wetu afu manyumbu ya lumumba bado yanashangilia upuuzi pumbavu kabisa
Sasa ilikuwaje akasema watatushtaki ilhali anajua wako nchini kinyume cha sheria?!........ Au alipokea mlungula apotezeeMbona Tundu alishasema Acacia hawajasajiliwa.
Mkuu hivi hawa wapinzani ndo waliwakaribisha haya makampuni ya madini yasiyo na usajili nchini kisheria? Hapa ni kumpongeza Rais wetu kwa uthubutu wake katika kuhakikisha rasilimali zetu nasi tunazifaidi lakini tukiwalaumu watu waliokuwa wanapiga kelele kuhusu mikataba mibovu na ya siri sidhani kama tutakuwa sahihiNilitegemea hadi muda hii wale wasomi machachali pale bungeni wangekuwa wamesema japo neno, kuhusiana na uwasilishaji wa ripoti ya 2 ya makanikia ukitilia maanani huo ni uwanja wao wa nyumbani kitaaluma. Swali langu kwao ni moja tu, Acacia haijasajiliwa kisheria hapa nchini je wao kama wabunge makini na hasa Zitto aliyekuwa boss wa PAC kwa muda mrefu hawakuwahi kulijua hiki?!! Maana shoka limepigwa Brela mbuyu(Acacia) chaaaaalii.
Hata lisu haelewi alivyo na kielele na upekepke angesha lopoka kama angekuwa anajua zaid anatutisha eti tutashitakiwa?huyu mwamasheri gani?anaogopa shatakaUmeambiwa haijasajiliwa ' kisheria' na hii Tundu anaielewa tafsiri yake, wewe utakuwa mhasibu umezoea kukariri
ccm kama wazalendo waliwezaje kusaini mikataba mibovuLisu ni mpuuzi anatetea tumbo lake ukiona anaongea utadhan MTU mzalendo Kumbe kibaraka tu kama Wazalendo waliwezaje kuwapokea lowasa na sumaye?
Umenena sana. Ni wachache wanaoelewa km unavyoelewa wewe. Watu wameweka vyama, maslah binafsi, sifa za kijingakijinga mbele kuliko taifa afu wanataka tuwachekeeTunapotezwa na mambo binafsi badala ya umma, tunapenda vioja badala ya hoja, tunachukulia utani na mashindano yasiyo na maana kila kitu hata uhai kwetu. Shame on us.