Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
- Thread starter
- #161
Sasa wewe unataka nitukane. Mbona nimeandika wazi kabisa? Au hukusoma ujumbe wa mwanzo? Hebu usome tena ingawa ngoja nikuwekee kwa ufupi:
Sasa Mdada anaweza tena vipi kuwa Mwanaume au Mkaka? Mie na Mkaka wapi na wapi?
Hebu fikiria Police huyu hapa awe SHOGA, unafikiri hata hawa wanaolaani hapa watamwacha? Wakipata nafasi tu, watamrukia Mdada huyu kama vile Teja limeona Unga wa nguvu kutoka Columbia....
Kuna dada mmoja nje ya nchi ambaye anataka kuja hadi hapa Sikonge ili nimtungishe Mimba na hatimaye azae mtoto. Huyu mdada ni mtu ambaye ninafahamiana naye kwa miaka mingi kidogo tangu nikiishi nje ya nchi ambapo siku hizo, hakuwa au nilikuwa sijajua kama ni SHOGA.
Sasa Mdada anaweza tena vipi kuwa Mwanaume au Mkaka? Mie na Mkaka wapi na wapi?
Hebu fikiria Police huyu hapa awe SHOGA, unafikiri hata hawa wanaolaani hapa watamwacha? Wakipata nafasi tu, watamrukia Mdada huyu kama vile Teja limeona Unga wa nguvu kutoka Columbia....
hkyamama mi sijaelewa kitu unless Kaunga uniambia kakako kaandika kinyamwezi!
hebu mtu anisaidie kwa lugha nyepesi! Sikonge unataka kuzaa na shoga ako??
kwani we ni mwanamke,sa mtazaaje?(iwapo we ni mwanamke) Sikonge unataka kuzaa na shoga,kwani wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wanaweza kubeba mimba??
AH MI SIJAELEWA banaaaa!