Hata Mimi sijui!Tatizo la hilo bango ni nini?
Pole unahitaji elimu!Tatizo la hilo bango ni nini?
Km hujui nenda kasome slave trade na colonialism in africaHata Mimi sijui!
Kwani slave trade hausomi kwenye history? kuna utata kwani kati ya afrika na ulaya tuna share history hiyo bila kujali nani alikuwa katika nafasi gani gatika hiyo biashara haramu? kuna utata baada ya biashara na utawala dhalimu kuisha tumeungana na kushare future pamoja mfano tumeunda jumuia ya madola?Km hujui nenda kasome slave trade na colonialism in africa
Kwa mujibu wa hilo bango it seems ghana wanajivunia kuwa waathirika wa slave trade na kuwa colonise na wazungu.....Na hyo future unayoizungumzia ni future ya aina gani!? Au ndyo ile ile ya kuendelea kutunyonya!? ....huwa napatwa na huzuni nikiona comment km yako, yaan mpaka leo unaamini mzungu yupo kwa ajili ya kukusaidia wewe mwafrica!?Kwani slave trade hausomi kwenye history? kuna utata kwani kati ya afrika na ulaya tuna share history hiyo bila kujali nani alikuwa katika nafasi gani gatika hiyo biashara haramu? kuna utata baada ya biashara na utawala dhalimu kuisha tumeungana na kushare future pamoja mfano tumeunda jumuia ya madola?
Usha google?Ngoja nika Google...
Tusiwachukie ila tuchukue tahadhari yasije jirudia ya utumwa na ukoloni mamboleoMkuu kwahiyo unataka tuwachukie wazungu?
Ki vipi? Hebu fafanuaLakini na kiswahili tunachojivunia leo ni matokeo ya SLAVE TRADE na COLONIALISM.
Mi nikajua imekuja version mpya ya kiingereza sijaijua badoTatizo la hilo bango ni nini?
Mzungu ni mungu kwa waafrica walio wengiLingekuwa bango linamhusu mwarabu matusi yengemwagika sana humu, ila kwakuwa ni mzungu hamna shida. Dah Waafrika bwana,aliyeturoga alikuwa shujaa sana. Mungu ibariki tanzania