Shocking Video and Images of Mass Burial in Tripoli, Libya FEB 22

wacha kuweka vedio za oungo..kwanza hapo sio libya...pili hizo maiti zipo wapi? Na hao jamaa mavazi yao ni ya iran...ni vedio ya kuwazika watu walokufa kwa kipindu pindu...au wanajenga vyoo.....hawaoneshi huzuni.
Musilete propaganda za west....hakuna alieweza kuonesha ukweli ndani ya libya ..tusubiri.....king of king atapoibuka mshindi dhadi ya mbinu za amerika...jamaa ni msema ovyo basi wote wanamchukia hata wafrika warabu wenzake...kwani aliwapakia alipokua amewekewa vikwazo
 
wacha kuweka vedio za oungo..kwanza hapo sio libya...pili hizo maiti zipo wapi? Na hao jamaa mavazi yao ni ya iran...ni vedio ya kuwazika watu walokufa kwa kipindu pindu...au wanajenga vyoo.....hawaoneshi huzuni.
Musilete propaganda za west....hakuna alieweza kuonesha ukweli ndani ya libya ..tusubiri.....king of king atapoibuka mshindi dhadi ya mbinu za amerika...jamaa ni msema ovyo basi wote wanamchukia hata wafrika warabu wenzake...kwani aliwapakia alipokua amewekewa vikwazo

Hata kiswahili cha Kenya ni kizuri.
 
wacha kuweka vedio za oungo..kwanza hapo sio libya...pili hizo maiti zipo wapi? Na hao jamaa mavazi yao ni ya iran...ni vedio ya kuwazika watu walokufa kwa kipindu pindu...au wanajenga vyoo.....hawaoneshi huzuni.
Musilete propaganda za west....hakuna alieweza kuonesha ukweli ndani ya libya ..tusubiri.....king of king atapoibuka mshindi dhadi ya mbinu za amerika...jamaa ni msema ovyo basi wote wanamchukia hata wafrika warabu wenzake...kwani aliwapakia alipokua amewekewa vikwazo
red - si kiswahili fasaha
 
Tatizo liko wapi mjukuu wangu?
wanaokufa na kuteseka ni walibya, wanaoandamana ni wa libya, J e USA inaingizwa vipi?
mbona kila kitu ninyi ni USA tu? USA aliwachukulia nini ninyi?
nchi haina hata access ya mtu yeyote ,hakuna mawasiliano,hakuna net n.k je USA inahusika vipi?
Tunisia, USA,Egypt USA,Bahrain USA pia..lol mda mwingine mnamsingizia USA wa bure tu.
Elewa kuwa wananchi wanahitaji haki wala hawahitaji zawadi ambazo ni haki yao kutoka kwenye oil.
Unaposema kuwa amewasaidia unamaanisha nini?
Hayo mafuta ni ya Ghadafi au ni ya walibya?
wacha kuweka vedio za oungo..kwanza hapo sio libya...pili hizo maiti zipo wapi? Na hao jamaa mavazi yao ni ya iran...ni vedio ya kuwazika watu walokufa kwa kipindu pindu...au wanajenga vyoo.....hawaoneshi huzuni.
Musilete propaganda za west....hakuna alieweza kuonesha ukweli ndani ya libya ..tusubiri.....king of king atapoibuka mshindi dhadi ya mbinu za amerika...jamaa ni msema ovyo basi wote wanamchukia hata wafrika warabu wenzake...kwani aliwapakia alipokua amewekewa vikwazo
 
Back
Top Bottom