Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,596
Imebidi nibishane mno na huyu mama wa makamo anayefanya hii biashara kwenye saluni za kike zenye hadhi ya juu mikocheni masaki na oysterbay... Pia na maeneo ya kinondoni
Sex toys /sex dolls ni biashara iliyoharamishwa hapa kwetu na inafanyika kwa siri kubwa kuliko hata madawa ya kulevya. Ni biashara ya magendo yenye faida nzuri na wateja wa uhakika
Kwa sehemu sio vibaya kutumia mara moja moja hayo madude... Kuna sababu anuwai, kinachostua ni kwamba ni aina ya wateja... Kwamba zipo za kike na zipo za kiume... Zinazouza sana ni za kiume na ilitarajiwa kuwa wateja wakubwa wawe kina mama kutokana na malalamiko mengi ya kutotoshelezwa kitandani na wenza wao kwenye swala zima la ngono
Kinyume na matarajio hayo wateja ni wanaume tena wengi ni wa kwenye mahusiano na ndoa
Unaweza kusema inawezekana kabisa wanawapelekea wake zao! Lakini hili ni jambo lisilowezekana abadani.. Wanatumia wenyewe...
Mwanamama huyu anakiri kuwa kuna ongezeko kubwa la ushoga kwenye ndoa na kwa kuogopa aibu wengi huamua kutumia sec toys kujiridhisha... Mbaya zaidi hali hiyo imewakumba vijana wengi watanashati sana wenye elimu vyeo na pesa... Utanashati ukizidi kwa mtoto wa kiume jua kuna walakini
Sec toys ambazo hazina bei kabisa ni zile za kike.. Maana yake ni kwamba kizazi kilichopo kinaangamiza kijacho taratibu..... Kwamba hakutakuwa na waoaji tena kama mambo yenyewe ndio haya... Na ndoa za jinsia moja zitakuwa kitu cha kawaida kabisa
Mungu atunusuru tuuu.....
Sex toys /sex dolls ni biashara iliyoharamishwa hapa kwetu na inafanyika kwa siri kubwa kuliko hata madawa ya kulevya. Ni biashara ya magendo yenye faida nzuri na wateja wa uhakika
Kwa sehemu sio vibaya kutumia mara moja moja hayo madude... Kuna sababu anuwai, kinachostua ni kwamba ni aina ya wateja... Kwamba zipo za kike na zipo za kiume... Zinazouza sana ni za kiume na ilitarajiwa kuwa wateja wakubwa wawe kina mama kutokana na malalamiko mengi ya kutotoshelezwa kitandani na wenza wao kwenye swala zima la ngono
Kinyume na matarajio hayo wateja ni wanaume tena wengi ni wa kwenye mahusiano na ndoa
Unaweza kusema inawezekana kabisa wanawapelekea wake zao! Lakini hili ni jambo lisilowezekana abadani.. Wanatumia wenyewe...
Mwanamama huyu anakiri kuwa kuna ongezeko kubwa la ushoga kwenye ndoa na kwa kuogopa aibu wengi huamua kutumia sec toys kujiridhisha... Mbaya zaidi hali hiyo imewakumba vijana wengi watanashati sana wenye elimu vyeo na pesa... Utanashati ukizidi kwa mtoto wa kiume jua kuna walakini
Sec toys ambazo hazina bei kabisa ni zile za kike.. Maana yake ni kwamba kizazi kilichopo kinaangamiza kijacho taratibu..... Kwamba hakutakuwa na waoaji tena kama mambo yenyewe ndio haya... Na ndoa za jinsia moja zitakuwa kitu cha kawaida kabisa
Mungu atunusuru tuuu.....