mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
Mikoani hamna hayo mambo kwanza hata dildo hawajui ni nn... wanaume wa DAR wanaangamiaKabla ya Dar walikuwa hukohuko mikoani, wakaja kumuangalia askari shupvu ambaye hatingishiki wala hayumbi, yuko vilevile na bunduki yake. Kisha wakamwamkia shikamoo baba kamanda.