Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Post yako imeniumiza sana imenikumbusha vivo vya wazazi wangu miaka tofauti na hospital tofauti nyuma kidogo kila ukiwaza unahisi palikua na uzembe ktk dawa/dose walizopewa....kama ulivyo post inafikia pahala mgonjwa kazidiwa wanashindwa apewe dawa IPI na kwa kiasi kipi.....hili swala lipo na linatutesa sana waafrika....na hii itakuja kuwa wazi baadae sana lkn kidogokidogo watu wanaanza kuamka kwa hili ndio maana Sikh hizi kwa Dar watu wanaiogopa hospt ya mlonganzila..
Na hata MJ kilichomuua ni madhara ya muda mrefu side effects ya dawa za kutuliza maumivu na kutoa uchovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio unajidanganya. Kifo nacho ni biashara. Sijui kama unalijua hilo.
Kwa akili yako ndogo unafikiri kifo hakiwezi kudhibitiwa?
Ndiyo kwa akili yangu ndogo hakuna anayeweza kuzuia kifo, bali unaweza kukisogeza mbele, kwani kifo ni jambo la asilia kwa viumbe vyote, isitoshe binadamu huanza kufa kidogo kidogo kuanzia siku anazaliwa, hivyo ukifikia utu uzima sehemu kubwa inakuwa imeshakufa na hiyo huwezi rudisha nyuma.