Shocking! Nusu ya vifo hutokana na maelezo ya daktari

Tuna miaka 50 ya uhuru nini kimeshindikana? Tutaweza lini tusipojaribu? Ugumu uko wapi? Tatizo ni moja tu... Tumeacha taaluma na kuipa siasa kipaumbele na thamani kubwa

Ila tunapoelekea huko kwenye kuweza n kujaribu, kwanza tuwekeze zaidi kwenye Elimu za watu wetu.
 
Ila tunapoelekea huko kwenye kuweza n kujaribu, kwanza tuwekeze zaidi kwenye Elimu za watu wetu.
Too far to be real ni mpaka tutakapoacha siasa kwenye mambo ya msingi na ya kitaalam.... Ni mpaka elimu na taaluma vitakapopewa nafasi ya kwanza
Maswali muhimu
Lini?
Na nani?
 
Asante sana kwa mrejesho vipimo viko ok lakini ukaandikiwa na doze ya 55elfu God is watching...! Ishu ya kuumwa kichwa mapumziko kunywa maji mengi na panadol vingesaidia... Ila watakula wapi?
Aha ha haaa! Yaani ningeenda Hospital ya wilaya sidhani kama wangejaza dawa zote hizo,

Mbaya zaidi mmiliki wa hii Hospital ni MCHAGA
 
Aha ha haaa! Yaani ningeenda Hospital ya wilaya sidhani kama wangejaza dawa zote hizo,

Mbaya zaidi mmiliki wa hii Hospital ni MCHAGA
Watani zangu hawa na shekeli utafikiri ni zakari na panunu
 
.
IMG-20180516-WA0047.jpg
 
Mwili wa binadamu hufika mahali ukapata shida fulani ya kiafya... Hii shida hujulikana kama ugonjwa, maradhi, kuumwa ama kuugua.... Utatuzi wake ni kupata kitu cha kuweza kupambana na hilo tatizo ili mwili uweze kurudi katika hali yake... Ufumbuzi wa tatizo unaitwa tiba na mtatua tatizo anaitwa tabibu

Kwa sehemu kubwa duniani kaliba ya uuguzi na tiba kwa ajili ya afya zetu... Inawezekana kabisa ndio taasisi nyeti inayopiga pesa ya kufuru na yenye mtandao mkubwa zaidi... Ni ndani ya taasisi hii
Kuna wakweli na kuna waongo
Kuna wajuzi na kuna wanaridhaa
Kuna matapeli na wapiga dill
Kuna waaminifu na wadanganyifu
Kuna wanaojali taaluma na wale wenye tamaa ya utajiri... Nknk

Ndani ya hilo kapu kubwa la mchanganyiko wote huo... Wote wamejivika koti la kuokoa afya yako... Kutibu tatizo lako na kukuokoa na kifo.... Na wote wakiaminika pakubwa na wewe mgonjwa!
Lakini je unajua kwamba kwa sehemu kubwa mwili wako hutumiwa kama majaribio ya dawa zisizo na uhakika wa kukuponya?
Je wajua kwamba tunatibiwa kwa sehemu kubwa na dawa zisizokuwa na uwezo wa kutusaidia matatizo yetu..
Je wajua kuwa pamoja na usahihi wa tiba lakini tabibu wengi huwa hawaangalii complications za dawa anayokupa kama zinaendana na mwili wako?
Je wajua kuwa matabibu wengi wenye nguvu na kwa ushawishi wa wanasiasa hushawishi Mataifa kutumiwa dawa zenye madhara makubwa lakini ya siri watumiaji?
Je wajua kuwa tabibu kamwe hawezi kukwambia ukweli kuwa kila dawa anayokupa ni kemikali inayopunguza selihai zako?

Kuna makosa makubwa ya wazi na ya kificho yanayofanywa na hii taasisi kubwa... Yanayofanywa kwa bahati mbaya ama kwa nia maalum ili kutimiza lengo fulani?
Hivi kama uzalishaji dawa kwenye taifa fulani ndio chanzo cha ajira na pato sehemu ya pato Lao la taifa... Watakubali kweli watu wasiumwe?
Hivi kweli kama sehemu fulani kuna mzigo wa dawa za ugonjwa fulani za zaidi ya dola million miamoja.... Kuna mtu atakubali hasara ya kupoteza kwa kuzitupa?

Mataifa mengi hasa ya dunia ya tatu ni
Vituo vikubwa vya majaribio ya dawa mbalimbali duniani
Ni vituo vikubwa vya kuuziwa dawa zilizo chini ya viwango
Ni vituo salama vya kuuza dawa zinazokaribia kikomo cha matumizi lakini zikiwa kwenye vifungashio vipya
Ni sehemu za kubet na maisha ya watu na chanzo cha utajiri na kipato
Ugua magonjwa ya kansa, figo na ini... Hutakuwa na tiba moja... Na kila ukienda utabalidiliwa dawa... Ukiuliza utambiwa hii imefeli ngoja tujaribu hii... Na kwakuwa unataka kupona utamwamini tabibu wako..... Kumbuka hizi dawa bei yake ni kichaa... Vipimo vyake navyo havikamatiki.... Ukishatumia pesa yako yote na ya ndugu na pengine kuuza hata baadhi ya mali zako... Mwili dhaifu unakuwa umechoka mno kwa kuumwa lakini pia kwa sumu za kutosha mwilini kutokana na madawa mengi na vipimo.... Baada ya hapo ni
Nenda sehemu tatu tofauti leo ukapime malaria tu... Halafu kashuhudie maajabu ya matokeo ya vipimo.....
ndo ujue kwa nini ukishwindwa unaambiwa katibiwe njee.mbona wenyewe hawaji huku kutibiwa
 
hizi ngonjera nazo kufaidi tune lazima uwe zaidi ya kichaa. vipi unalisemeaje suala la gharama za kuwasiliana na kiongozi wa kukuosha kiroho? maana bila SADAKA, ZAKA, MALIMBUKO, KUTEGEMEZA, SHUKURANI, MAJI YA BARAKA, ROZALI NK. NK NK tunaambiwa haujakamilika?
kama ilivyo kwamba magonjwa si mpango wa MUNGU kwetu wanadamu ndivyo ivyoivyo madawa na mahospitali sio mpango wa MUNGU. aliyeleta magonjwa shetani na madawa na mahospitali huyohuyo shetani, unadhani kuna salama hapo? ukitaka kuamini nisemayo wewe jitahidi ufanikiwe kwa mambo ya rohoni uone jinsi utakavyo fanikiwa kwa mambo mengine yote na kuwa na afya.
 
bila kusahau RANGI MBILI na ngao (ya vidonge na ya maji) sasa hivi hata makumbusho hupati ngao
Lakini pia kuna hili la national policies... Hizi za kisiasa.... Tangu miaka ile ya 60 tukitumia quinine kama tiba komesha ya malaria mpaka leo hii tuko kwenye mseto je rate ya malaria imeshuka ama imepanda?
Kila wakati inaletwa dawa mpya na pengine kwa majaribio na kutangaziwa kuwa ndio tiba bora baada ya ile ya kwanza kuwa sugu
Ni wangapi wamesahau mseto za kwanza zilivyowaumiza watu tena wengine wakiachwa na vilema vya kudumu!? Achilia mbali vifo
 
Kuna kitabu kinaitwa natural cures they dont want you tu know na kevin tradeau jamaa anaongelea hizo ishu kwamba madawa ni biashara tu.
 
Kuna vifo vinatokana na ushauri na ushawishi wa daktari... Yani kama ukienda tofauti na yeye unaweza kuongeza siku za kuishi
Nilijisikia kuumwa hadi ukiniangalia macho unanajua naumwa,nikaamua kwenda kupima malaria nikakutwa sina malaria jamaa wakaniambia itakuwa U.T.I hivyo wakataka nipime,mie nikawaambia nitarudi baadaye nikaondoka zangu nyumbani na kujinywea panadol tu hadi ile hali ikaisha.
 
Ugonjwa ni biashara usipokuwa makini unageuzwa bidhaa
Nilijisikia kuumwa hadi ukiniangalia macho unanajua naumwa,nikaamua kwenda kupima malaria nikakutwa sina malaria jamaa wakaniambia itakuwa U.T.I hivyo wakataka nipime,mie nikawaambia nitarudi baadaye nikaondoka zangu nyumbani na kujinywea panadol tu hadi ile hali ikaisha.

Jr
 
Acheni kujidanganya, Afrika ambapo hakuna Madaktari nusu ya vifo inatokana na nini?
Kufa kupo tu hata mfanye nini hata mtafute sababu lkn kifo kipo tu kwanza Binadamu anaanza kufa tangu siku anayozaliwa, moyo kusimama ni kukamilisha kifo tu lkn ulianza kufa tangu siku umezaliwa!


Wewe ndio unajidanganya. Kifo nacho ni biashara. Sijui kama unalijua hilo.

Kwa akili yako ndogo unafikiri kifo hakiwezi kudhibitiwa?
 
Back
Top Bottom