Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
Mwili wa binadamu hufika mahali ukapata shida fulani ya kiafya... Hii shida hujulikana kama ugonjwa, maradhi, kuumwa ama kuugua.... Utatuzi wake ni kupata kitu cha kuweza kupambana na hilo tatizo ili mwili uweze kurudi katika hali yake... Ufumbuzi wa tatizo unaitwa tiba na mtatua tatizo anaitwa tabibu
Kwa sehemu kubwa duniani kaliba ya uuguzi na tiba kwa ajili ya afya zetu... Inawezekana kabisa ndio taasisi nyeti inayopiga pesa ya kufuru na yenye mtandao mkubwa zaidi... Ni ndani ya taasisi hii
Kuna wakweli na kuna waongo
Kuna wajuzi na kuna wanaridhaa
Kuna matapeli na wapiga dill
Kuna waaminifu na wadanganyifu
Kuna wanaojali taaluma na wale wenye tamaa ya utajiri... Nknk
Ndani ya hilo kapu kubwa la mchanganyiko wote huo... Wote wamejivika koti la kuokoa afya yako... Kutibu tatizo lako na kukuokoa na kifo.... Na wote wakiaminika pakubwa na wewe mgonjwa!
Lakini je unajua kwamba kwa sehemu kubwa mwili wako hutumiwa kama majaribio ya dawa zisizo na uhakika wa kukuponya?
Je wajua kwamba tunatibiwa kwa sehemu kubwa na dawa zisizokuwa na uwezo wa kutusaidia matatizo yetu..
Je wajua kuwa pamoja na usahihi wa tiba lakini tabibu wengi huwa hawaangalii complications za dawa anayokupa kama zinaendana na mwili wako?
Je wajua kuwa matabibu wengi wenye nguvu na kwa ushawishi wa wanasiasa hushawishi Mataifa kutumiwa dawa zenye madhara makubwa lakini ya siri watumiaji?
Je wajua kuwa tabibu kamwe hawezi kukwambia ukweli kuwa kila dawa anayokupa ni kemikali inayopunguza selihai zako?
Kuna makosa makubwa ya wazi na ya kificho yanayofanywa na hii taasisi kubwa... Yanayofanywa kwa bahati mbaya ama kwa nia maalum ili kutimiza lengo fulani?
Hivi kama uzalishaji dawa kwenye taifa fulani ndio chanzo cha ajira na pato sehemu ya pato Lao la taifa... Watakubali kweli watu wasiumwe?
Hivi kweli kama sehemu fulani kuna mzigo wa dawa za ugonjwa fulani za zaidi ya dola million miamoja.... Kuna mtu atakubali hasara ya kupoteza kwa kuzitupa?
Mataifa mengi hasa ya dunia ya tatu ni
Vituo vikubwa vya majaribio ya dawa mbalimbali duniani
Ni vituo vikubwa vya kuuziwa dawa zilizo chini ya viwango
Ni vituo salama vya kuuza dawa zinazokaribia kikomo cha matumizi lakini zikiwa kwenye vifungashio vipya
Ni sehemu za kubet na maisha ya watu na chanzo cha utajiri na kipato
Ugua magonjwa ya kansa, figo na ini... Hutakuwa na tiba moja... Na kila ukienda utabalidiliwa dawa... Ukiuliza utambiwa hii imefeli ngoja tujaribu hii... Na kwakuwa unataka kupona utamwamini tabibu wako..... Kumbuka hizi dawa bei yake ni kichaa... Vipimo vyake navyo havikamatiki.... Ukishatumia pesa yako yote na ya ndugu na pengine kuuza hata baadhi ya mali zako... Mwili dhaifu unakuwa umechoka mno kwa kuumwa lakini pia kwa sumu za kutosha mwilini kutokana na madawa mengi na vipimo.... Baada ya hapo ni
Nenda sehemu tatu tofauti leo ukapime malaria tu... Halafu kashuhudie maajabu ya matokeo ya vipimo.....
Kwa sehemu kubwa duniani kaliba ya uuguzi na tiba kwa ajili ya afya zetu... Inawezekana kabisa ndio taasisi nyeti inayopiga pesa ya kufuru na yenye mtandao mkubwa zaidi... Ni ndani ya taasisi hii
Kuna wakweli na kuna waongo
Kuna wajuzi na kuna wanaridhaa
Kuna matapeli na wapiga dill
Kuna waaminifu na wadanganyifu
Kuna wanaojali taaluma na wale wenye tamaa ya utajiri... Nknk
Ndani ya hilo kapu kubwa la mchanganyiko wote huo... Wote wamejivika koti la kuokoa afya yako... Kutibu tatizo lako na kukuokoa na kifo.... Na wote wakiaminika pakubwa na wewe mgonjwa!
Lakini je unajua kwamba kwa sehemu kubwa mwili wako hutumiwa kama majaribio ya dawa zisizo na uhakika wa kukuponya?
Je wajua kwamba tunatibiwa kwa sehemu kubwa na dawa zisizokuwa na uwezo wa kutusaidia matatizo yetu..
Je wajua kuwa pamoja na usahihi wa tiba lakini tabibu wengi huwa hawaangalii complications za dawa anayokupa kama zinaendana na mwili wako?
Je wajua kuwa matabibu wengi wenye nguvu na kwa ushawishi wa wanasiasa hushawishi Mataifa kutumiwa dawa zenye madhara makubwa lakini ya siri watumiaji?
Je wajua kuwa tabibu kamwe hawezi kukwambia ukweli kuwa kila dawa anayokupa ni kemikali inayopunguza selihai zako?
Kuna makosa makubwa ya wazi na ya kificho yanayofanywa na hii taasisi kubwa... Yanayofanywa kwa bahati mbaya ama kwa nia maalum ili kutimiza lengo fulani?
Hivi kama uzalishaji dawa kwenye taifa fulani ndio chanzo cha ajira na pato sehemu ya pato Lao la taifa... Watakubali kweli watu wasiumwe?
Hivi kweli kama sehemu fulani kuna mzigo wa dawa za ugonjwa fulani za zaidi ya dola million miamoja.... Kuna mtu atakubali hasara ya kupoteza kwa kuzitupa?
Mataifa mengi hasa ya dunia ya tatu ni
Vituo vikubwa vya majaribio ya dawa mbalimbali duniani
Ni vituo vikubwa vya kuuziwa dawa zilizo chini ya viwango
Ni vituo salama vya kuuza dawa zinazokaribia kikomo cha matumizi lakini zikiwa kwenye vifungashio vipya
Ni sehemu za kubet na maisha ya watu na chanzo cha utajiri na kipato
Ugua magonjwa ya kansa, figo na ini... Hutakuwa na tiba moja... Na kila ukienda utabalidiliwa dawa... Ukiuliza utambiwa hii imefeli ngoja tujaribu hii... Na kwakuwa unataka kupona utamwamini tabibu wako..... Kumbuka hizi dawa bei yake ni kichaa... Vipimo vyake navyo havikamatiki.... Ukishatumia pesa yako yote na ya ndugu na pengine kuuza hata baadhi ya mali zako... Mwili dhaifu unakuwa umechoka mno kwa kuumwa lakini pia kwa sumu za kutosha mwilini kutokana na madawa mengi na vipimo.... Baada ya hapo ni
Nenda sehemu tatu tofauti leo ukapime malaria tu... Halafu kashuhudie maajabu ya matokeo ya vipimo.....