Shocking News: OIL just hit $100 a barrel!

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Sina link yoyote at the moment lakini najua hii itakuwa na implication kubwa sana kwenye siasa Tanzania

Rais wetu mheshimiwa JK sijui amejiandaa vipi na bei za vyakula na services kuongengezeka na political fall out sijui itakuwa vipi (assuming wapinzani kama tunao) wata milk vipi hii situation
 
Sadly about 30% of that is due to market speculation.The true price of oil should be in the $ 60's range.
 
Rais wetu mheshimiwa JK sijui amejiandaa vipi na bei za vyakula na services kuongengezeka na political fall out sijui itakuwavipi (assuming) wapinzania wanaweza kuhimili vipi hii situation

I see, nahisi gharama Tanzania kupanda na balaa la njaa kuwakumba wananchi. Hali si nzuri kabisa. Mungu aepushe dhahma hizi.
 
Back
Top Bottom