Sure thingi'm 100% sure names like kenyatta family and the likes can never be missed in the list of the unknown shareholders.
twitter ndio platform pekee inayowaacha uchi wa mnyama wakenya.Wakenya huwezi kuwaona kwa uzi kama huu hapa JF, wanajua ukweli kwamba nchi inaliwa na Jubilee..Lakini kuna kiburi fulani baba wa taifa la kenya (Mzee kenyatta) aliwaingiza wakenya..eti afadhali wale nyasi lakini wasikiri makosa yao mbele ya taifa lingine kama Tanzana
Ukitaka ukweli wa hisia za wakenya enda twitter
Watetezi wa mafisadi...!Wakenya huwezi kuwaona kwa uzi kama huu hapa JF, wanajua ukweli kwamba nchi inaliwa na Jubilee..Lakini kuna kiburi fulani baba wa taifa la kenya (Mzee kenyatta) aliwaingiza wakenya..eti afadhali wale nyasi lakini wasikiri makosa yao mbele ya taifa lingine kama Tanzana
Ukitaka ukweli wa hisia za wakenya enda twitter
Ukweli una uma japo nidawa... Sema kweli daima... Hawa mchwa Wa Kenya ni tishiotwitter ndio platform pekee inayowaacha uchi wa mnyama wakenya.
kule kuna wakenya vichaa hawaoni aibu wala uoga wa kueleza matatizo yote yanayowakumba wakenya.
Twitter ama #KOT wanavyo jiita utapata ukweli wa hisia za wakenya..Ila ukiwa Mtz hapo ujaribu kuwaambia sera zao baya kama za kuwachia watu wasio wananchi kumiliki ardhi ya kenya, ukabila, na kukosa vyama dhabiti zinazoongozwa kwa ideology wala sio zinazo milikiwa na mtu binafsi, watakukejeli wakutukane eti wewe ni msocialisti..Japo wao kila kuchao wanakimbia China (socialist) na bakuli ya omba ombatwitter ndio platform pekee inayowaacha uchi wa mnyama wakenya.
kule kuna wakenya vichaa hawaoni aibu wala uoga wa kueleza matatizo yote yanayowakumba wakenya.
hawa wakenya wachache wa hapa jf ni blind patriots, wanakufa kijerumani na tai zao shingoni ila cha moto wanakiona.
Tatzo viongozi wao hawawaogopi RAIA wao yaani wakenya wangekua aggressive kwenye issue sensitive ka hizi asee hawa jamaa wangekua mbali sana sema wanalindana sijui kisa viongozi ni wa kabila lao??Ukweli una uma japo nidawa... Sema kweli daima... Hawa mchwa Wa Kenya ni tishio
Salary Slip 😂😂😂aje aseme kama Ana penda ufisadiWatu wa ufipa wanavyoipenda kenya ... sijui kama mtoa mada utaachwa kutukana na akina salary slip
🤣🤣🤣🤣 bakuli la omba omba...Twitter ama #KOT wanavyo jiita utapata ukweli wa hisia za wakenya..Ila ukiwa Mtz hapo ujaribu kuwaambia sera zao baya kama za kuwachia watu wasio wananchi kumiliki ardhi ya kenya, ukabila, na kukosa vyama dhabiti zinazoongozwa kwa ideology wala sio zinazo milikiwa na mtu binafsi, watakukejeli wakutukane eti wewe ni msocialisti..Japo wao kila kuchao wanakimbia China (socialist) na bakuli ya omba omba
Ukabila ndio tatizo kuu... Wakiacha ukabila na kuwa wamoja watasonga mbele hakikaTatzo viongozi wao hawawaogopi RAIA wao yaani wakenya wangekua aggressive kwenye issue sensitive ka hizi asee hawa jamaa wangekua mbali sana sema wanalindana sijui kisa viongozi ni wa kabila lao??
Hata Inzi akiacha ujinga ipo siku atatengeneza asali...Tatzo viongozi wao hawawaogopi RAIA wao yaani wakenya wangekua aggressive kwenye issue sensitive ka hizi asee hawa jamaa wangekua mbali sana sema wanalindana sijui kisa viongozi ni wa kabila lao??
kule twitter mimi huwa napelekana nao sana hawa jamaa mpaka kuna wengine wameni-block.Twitter ama #KOT wanavyo jiita utapata ukweli wa hisia za wakenya..Ila ukiwa Mtz hapo ujaribu kuwaambia sera zao baya kama za kuwachia watu wasio wananchi kumiliki ardhi ya kenya, ukabila, na kukosa vyama dhabiti zinazoongozwa kwa ideology wala sio zinazo milikiwa na mtu binafsi, watakukejeli wakutukane eti wewe ni msocialisti..Japo wao kila kuchao wanakimbia China (socialist) na bakuli ya omba omba
wapinzani wa Tz huwa na matatizo ya akili..Utawaona wakishabikia mikataba kama bagamoyo na kuimbia pambio makampuni mijizi kama Accacia..Yaani JPM amewatoa pumzi hawana la kumkejeli nalo ila hoja za hisia hisia tuSalary Slip 😂😂😂aje aseme kama Ana penda ufisadi
🤣🤣🤣🤣 bakuli la omba omba...
Tuna andaa utaratibu Wa kuuza maparachichi kenya kwa bei nzuri ili tunufaike wote...
bakuli la omba omba...
Tuna andaa utaratibu Wa kuuza maparachichi kenya kwa bei nzuri ili tunufaike wote...