fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,379
- 11,523
Hakuna bima yeyote hapa tz inayo tibu iyo kitu🏃Labda wanataka kuvuna pesa kupitia mifuko ya bima ya afya
Hakuna bima yeyote hapa tz inayo tibu iyo kitu🏃Labda wanataka kuvuna pesa kupitia mifuko ya bima ya afya
Lakini salamaHatari
Ukibisha hodi tu ni 6m kwanza 🙆Agha Khan ni shilingi ngapi?
AsanteUkibisha hodi tu ni 6m kwanza 🙆
Apo Aghakan ipo injection ya 5m alipiga 3 na bado akasepa 🙆Hindumandal na Aghakan ndiyo kiboko yake. Hiyo pesa deposit au kianzio tu utakaa chini. Kuna jamaa aliacha hapo 42 milioni🤤🤤🤤🤤🤤 Aghakan. Sasa usiombr mgonjwa afariki ni mpaka ulipe hayo mamilioni ndiyo upewe mwili.
Milele Itapendeza.
Hii tabia ya wavulana kutukana viungo pamoja na mifumo ya mwili Mungu alivyowapa mama zao sijui wanaipata wapi!?😂😂😂 kakutibua...
Pengine Tatizo la hormoneHii tabia ya wavulana kutukana viungo pamoja na mifumo ya mwili Mungu alivyowapa mama zao sijui wanaipata wapi!?
Unakuta mtu anatukana pale alipopitia kupatikana au anaitukana process ya yeye kupatikana kama huyu mvulana🙄🙄🙄
Pengine Tatizo la hormone
HALI NI NGUMU, 600K TUNAPATA WAPI FASTA FASTA?
Hawa vijana wa siku hizi bwana walaini laini Sana sisi enzi zetu tuna chomwa sindano ya kuchemsha ina choma kijiji kizima una ambiwa usikaze tako itakatika ipo moja tu!Adolescence 😂😂😂😂😂😂
Mkuu punguza ukali wa maneno kwa binadamu mwenzio,tuvumilianeWeee mama d unajua uwekezaj wa hivyo vifaa au unabwabwaja tu kmbwa alikuwa kwenye heat,nenda aghakan wanalipa zaid ya 1m.
Eee na bado kuna 850k, na ile 1 MKUMBUKA HIYO 600K NI KWA SIKU MOJA!!!! UMEELEWA?
Pole sana mama D,jamaa sio mstaarabu,all in all tuvumiliane tu.Niko kwenye hilo hiti na mamyako.... na sijui mlikua mnaongea nini hadi akakuhadithia mambo ya wanawake? Mfyuuu
Kuna tofauti kati ya biashara ya kuuza beer na kutoa huduma ya afya. Kama hujui sheria na miongozo ya watoa huduma za afya usikurupuke, tulia weweeee
Wacha regulators waongee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hawa vijana wa siku hizi bwana walaini laini Sana sisi enzi zetu tuna chomwa sindano ya kuchemsha ina choma kijiji kizima una ambiwa usikaze tako itakatika ipo moja tu!
kweli tulikuwa tuna kaza tako linakuwa kama jiwe ! Hawa wa sasa walaini hawana maadili
Asante digba sowey, kwakweli tuvumiliane tuuPole sana mama D,jamaa sio mstaarabu,all in all tuvumiliane tu.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Le kovidiMagonjwa ya Mifumo ya Hewa ndio yapi?
Hata Muhimbili hatolala wala Palestina.hio ndio dunia kijana, kama huna hela wewe ning'ombe kama ng'ombe zingine naukiumwa utalala zizini sio kwa kairuki wala Aga khan