Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
- Thread starter
- #41
Watu wanaotetea bei hizi ghali wasiombee Nimonia ipige hodi majumbani mwao.
Watu watano, mke, wewe, watoto wako watatu wote mbavu zimewabana mnakimbilia hospitali na nyote mnanahitaji huduma mnaambiwa gharama hapa ni shilingi 850000 kwa siku kwa kila mtu na wakae wiki moja!. Kama hujaweka bondi kijumba chako unusuru familia yako sijui!. La sivyo unazika familia yako hivihivi huku ukijiona!
Think big, mnapotetea mambo kama haya kwa kisingizio cha soko huria!.
Soko huria unaweza kuileta kwenye kuuza mbege siyo afya za watu!
Watu watano, mke, wewe, watoto wako watatu wote mbavu zimewabana mnakimbilia hospitali na nyote mnanahitaji huduma mnaambiwa gharama hapa ni shilingi 850000 kwa siku kwa kila mtu na wakae wiki moja!. Kama hujaweka bondi kijumba chako unusuru familia yako sijui!. La sivyo unazika familia yako hivihivi huku ukijiona!
Think big, mnapotetea mambo kama haya kwa kisingizio cha soko huria!.
Soko huria unaweza kuileta kwenye kuuza mbege siyo afya za watu!