juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,449
- Thread starter
- #21
umenikumbusha mbali sana,kuna jamaa yangu alitapeliwa milioni moja na laki sabaUnakumbuka wale wa Facebook miaka ya 2012 na 2013 Anamkwambia ye Yupo Senegal Ni Yatima Baba kaacha Dola $ 500,000 Bank so unatakiwa umsadie Atakwambia mtumie MwanaSheria wao dola $ 1,000 ili athibitishe Bank ifanye Transfer kwako Halafu bint akija atakupa 15% ya Zile Dola ukituma $ 1,000 kwa Western Union ndo Ushaibiwa