Shituka: Hizi ndio mbinu za wanawake wa kuwapata mitandaoni

Unakumbuka wale wa Facebook miaka ya 2012 na 2013 Anamkwambia ye Yupo Senegal Ni Yatima Baba kaacha Dola $ 500,000 Bank so unatakiwa umsadie Atakwambia mtumie MwanaSheria wao dola $ 1,000 ili athibitishe Bank ifanye Transfer kwako Halafu bint akija atakupa 15% ya Zile Dola ukituma $ 1,000 kwa Western Union ndo Ushaibiwa
umenikumbusha mbali sana,kuna jamaa yangu alitapeliwa milioni moja na laki saba
 
Unakumbuka wale wa Facebook miaka ya 2012 na 2013 Anamkwambia ye Yupo Senegal Ni Yatima Baba kaacha Dola $ 500,000 Bank so unatakiwa umsadie Atakwambia mtumie MwanaSheria wao dola $ 1,000 ili athibitishe Bank ifanye Transfer kwako Halafu bint akija atakupa 15% ya Zile Dola ukituma $ 1,000 kwa Western Union ndo Ushaibiwa
umenikumbusha mbali sana,kuna jamaa yangu alitapeliwa milioni moja na laki saba
 
Unakumbuka wale wa Facebook miaka ya 2012 na 2013 Anamkwambia ye Yupo Senegal Ni Yatima Baba kaacha Dola $ 500,000 Bank so unatakiwa umsadie Atakwambia mtumie MwanaSheria wao dola $ 1,000 ili athibitishe Bank ifanye Transfer kwako Halafu bint akija atakupa 15% ya Zile Dola ukituma $ 1,000 kwa Western Union ndo Ushaibiwa
aaaah walinijarib nikawa nawaenjoi mapema coz nilixa waxitukia. mwisho wa siku waliona kama naelekea lakini hawakupata kitu
 
Unakumbuka wale wa Facebook miaka ya 2012 na 2013 Anamkwambia ye Yupo Senegal Ni Yatima Baba kaacha Dola $ 500,000 Bank so unatakiwa umsadie Atakwambia mtumie MwanaSheria wao dola $ 1,000 ili athibitishe Bank ifanye Transfer kwako Halafu bint akija atakupa 15% ya Zile Dola ukituma $ 1,000 kwa Western Union ndo Ushaibiwa
Kuna babu alichachawaga na dem wa Senegal sijui kama hakuliwa kiinua mgongo chake, make nlikua namwambia huyo tapeli haelewi anaona nampeperushia
 
mjanja huwezi ingizwa mjini na hizo gia..mi sijawai kukuona af nikupe nauli uje dar,..mi nawapatiaa wenyewewanasepa...maana i dont care..ila akija fresh tukawasiliana tukaonana tukafahamiana...ahaaa nauli sioishu..ilasio mkoani...maana nauli ni kama unampa rafiki yako tu sio ishu...ilamizinga ya hivo holaaa kwa wengine...
 
Why 30,000? Asilimia kubwa wanawake vizinga vyao ni elfu30. Ata malaya akienda kutoa show ya kulala anadai elfu30
Mkuu kumbe siku hizi wameshuka bei? labda wanatofutiana quality maana mimi huwa napigwa vizinga vya elfu 50 nakuendelea, mniupdate pengine huu usawa wa Mhe. wa hapa kazi tu umefanya bei ishuke.
 
Back
Top Bottom