Sir John
Senior Member
- Aug 19, 2010
- 177
- 1
Aliyekuwa Mweneykiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya mwanasheria SAMBWEE SHITAMBALA amejiuzulu nafasi hiyo!
Anakabiliwa na shutuma za kupokea 600million toka kwa CCM na akuuuza ubunge kwa mchungaji wa CCM.
Shitambala Amedai kila akitaka kujieleza juu ya tuhuma hapati ushirikiano kutoka kwa mwenyekiti taifa bwana Mbowe.
Hili sasa ni pigo kwa CHADEMA - MBEYA
Anakabiliwa na shutuma za kupokea 600million toka kwa CCM na akuuuza ubunge kwa mchungaji wa CCM.
Shitambala Amedai kila akitaka kujieleza juu ya tuhuma hapati ushirikiano kutoka kwa mwenyekiti taifa bwana Mbowe.
Hili sasa ni pigo kwa CHADEMA - MBEYA