Shisha yapigwa marufuku Tanzania, hakuna kuvuta sigara hadharani Dar

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
338
180
shisha smoke.jpg

Dada huyu akivuta Shisha hadharani

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, jana amemaliza kazi. Amepiga marufuku matumizi ya ulevi aina ya Shisha nchini ambao umesambaa kwa vijana wengi pamoja na watu wazima.

Marufuku yake imekuja siku chache baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kupiga marufuku matumizi ya kilevi hicho pamoja na uvutaji wa sigara hadharani mkoani humo.

Soma zaidi hapa=> Shisha yapigwa marufuku Tanzania, hakuna kuvuta sigara hadharani Dar | Fikra Pevu
 
Shisha ndio kilevi gani, ufafanuz plz
Nataka kujua chemistry yake mpaka ipelekee kufutwa
 
Tunapoelekea watu wa dar mtapigwa marufuku kutembea huku mnaongea na simu
 
Back
Top Bottom