salosalo
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 596
- 278
Wana JF, naomba niwashirikishe uzoefu wangu japo kidogo tu.
Nilipokuwa nasoma elimu ya juu nilikuwa nikipewa jumla ya sh. 420,000/- kwa semister moja yenye siku 120 kama pesa ya chakula na sponsor wngu, inamaana sh 3500/siku. Haikutosha, nilikuwa napewa sh. 300,000/ ya stationery kwa semister mbili. Jumla nilikuwa naweka kibindoni jumla ya sh 570,000/- kwa semister(siku 120). Yaani nilikuwa nachukia na kupata hasira huku nikiomba nimalize haraka chuo ili niende uraiani nikaajiriwe.
Niliamini chuo kilikuwa kinachelewesha maendeleo yangu mno. Nilijua nikimaliza ntalipwa zaidi ya sh 570,000/ kwa mwezi(siku 30) badala ya 570,000 kwa miezi minne. Dooooh! sasa nazikumbuka zile pesa za chuo japo zilikuwa za mkopo. tangu 2009 sijaona ajira pamoja na jitihada nyingi ninazofanya. NISAMEHE CHUO MAANA NILIKUSINGIZIA, ETI UNANICHELEWESHEA MAENDELEO NA UTAJIRI. Nakukumbuka rafiki yangu wa zamani (chuo), rafiki mpya niliyemtegemea(kazi) kwa kukuacha wewe ananikimbia hadi leo.
n
Nilipokuwa nasoma elimu ya juu nilikuwa nikipewa jumla ya sh. 420,000/- kwa semister moja yenye siku 120 kama pesa ya chakula na sponsor wngu, inamaana sh 3500/siku. Haikutosha, nilikuwa napewa sh. 300,000/ ya stationery kwa semister mbili. Jumla nilikuwa naweka kibindoni jumla ya sh 570,000/- kwa semister(siku 120). Yaani nilikuwa nachukia na kupata hasira huku nikiomba nimalize haraka chuo ili niende uraiani nikaajiriwe.
Niliamini chuo kilikuwa kinachelewesha maendeleo yangu mno. Nilijua nikimaliza ntalipwa zaidi ya sh 570,000/ kwa mwezi(siku 30) badala ya 570,000 kwa miezi minne. Dooooh! sasa nazikumbuka zile pesa za chuo japo zilikuwa za mkopo. tangu 2009 sijaona ajira pamoja na jitihada nyingi ninazofanya. NISAMEHE CHUO MAANA NILIKUSINGIZIA, ETI UNANICHELEWESHEA MAENDELEO NA UTAJIRI. Nakukumbuka rafiki yangu wa zamani (chuo), rafiki mpya niliyemtegemea(kazi) kwa kukuacha wewe ananikimbia hadi leo.
n