malimi katoro
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 358
- 153
#ChinaMade
Stori yangu inahusu dawa ya kutibu malaria sugu ambayo imetengenezwa kutoka CHINA inaitwa DUOCOTEXCIN,inauzwa kuanzia shilingi 12,000
Mwaka jana(2014) niliugua malaria nikalazwa hospitali mjini BUNDA nakuongezewa maji ya quinin pamoja na vidonge vyake lakini sikupona na hali ilizidi kuwa mbaya karibu ya kufa, daktari alinibadilisha dozi na kunipatia DUOCOTEXCIN ambayoimetengenezwa kutoka CHINA.
Kwa kweli Papohapo nilipata nafuu na kuruhusiwa kuondoka hospitali, hivyo dawa hii naipenda sana kwa tiba ya malaria sugu kwani inanguvu ya uponyaji iliyokatika hali ya juu.
Stori yangu inahusu dawa ya kutibu malaria sugu ambayo imetengenezwa kutoka CHINA inaitwa DUOCOTEXCIN,inauzwa kuanzia shilingi 12,000
Mwaka jana(2014) niliugua malaria nikalazwa hospitali mjini BUNDA nakuongezewa maji ya quinin pamoja na vidonge vyake lakini sikupona na hali ilizidi kuwa mbaya karibu ya kufa, daktari alinibadilisha dozi na kunipatia DUOCOTEXCIN ambayoimetengenezwa kutoka CHINA.
Kwa kweli Papohapo nilipata nafuu na kuruhusiwa kuondoka hospitali, hivyo dawa hii naipenda sana kwa tiba ya malaria sugu kwani inanguvu ya uponyaji iliyokatika hali ya juu.