Shirika la Viwango Tanzania(TBS) halina uhalali wa kuwepo, majukumu yamewashinda

Nondo wanasema Ni futi 40, ila ukipima Ni futi 36.

Almost futi 4 zote wameiba
 
Wenye uwezo wa kutambua bidhaa zisizokidhi viwango ni TBS, polisi kazi yao ni kukamata kwa maelekezo ya mlalamikaji, TBS. Siamini kama polisi wanazo maabara za kupimia ubora wa bidhaa.
Inawezekana kinachopelekwa tbs na kinachopelekwa mtaani NI tofauti .ndo maana mdau hapo kasema ni kazi ya polisi
 
Hizo Feki nyingi husan nondo na misumari, nadhani ni mali ya Bongoland yaani wanatumia vyuma chakavu na kufanya recycle ingawa nyingine zinatoka huko nje...

Nadhani TBS huwa wanachukua batch fulani na kuipima kama ina kiwango / viwango alafu wanaweka nembo ya TBS kwahio kama hizo Feki zina nembo ya TBS tuanzie hapo kuwawajibisha.....

In short kama kuna bidhaa hazikidhi mahitaji na hao TBS wanahusika, hawashindwi na wao kusikia / kujua kama ulivyojua wewe kwamba kitaa kuna bidhaa za ajabu ajabu wakabebana na hao police wao kufanya follow-up..., huku kugawana lawana sijui ni kazi ya nani tutajikuta tunaendelea kuumia wakati tunatafuta ni nani wa kulaumu...

Sidhani kama akija mgeni akakuta bidhaa nyingi viwango ni duni ataanza kuwalaumu polisi wakati tuna shirika la viwango
 
Nondo siku hizi ni laini sana..na urefu umepungua
Misumari nayo milaini sana..
Cement 50kg haifiki ...
Earth rod ambazo sio copper zpo kibao...
Circuit breaker nying ni mapambo..hazifanyi kaz
Kiufupi, kwenye ujenzi 80% ya vifaa ni feki
Na wauzaji wanapiga hela. Earth rod ndani ni chuma, juu imepakwa shaba na inauzwa kwa bei ya shaba. Hata Tanesco wanalijua hili, lakini hawana la kufanya.
 
Inawezekana kinachopelekwa tbs na kinachopelekwa mtaani NI tofauti .ndo maana mdau hapo kasema ni kazi ya polisi
Polisi hatafuti makosa, hata plain cloth police wako kwenye upelelezi, japo hu- intercept wakiona kiashiria cha uharifu. Kwa Tanzania ni hukumu la TBS kuainisha viwango na kuhakikisha vinafuatwa. Kushindwa jukumu lao, njia ni nyeupe, watu wameumia vya kutosha.
 
Nondo siku hizi ni laini sana..na urefu umepungua
Misumari nayo milaini sana..
Cement 50kg haifiki ...
Earth rod ambazo sio copper zpo kibao...
Circuit breaker nying ni mapambo..hazifanyi kaz
Kiufupi, kwenye ujenzi 80% ya vifaa ni feki
Kuna ujenzi wa mkataba Dar, 25yrs after unaachia nyumba (sijui kama bado upo baada ya vyuma kukaza). Mjenzi anatumia material duni (miaka 25 sipo) , kumbe nazo ni fake!
 
Polisi hatafuti makosa, hata plain cloth police wako kwenye upelelezi, japo hu- intercept wakiona kiashiria cha uharifu. Kwa Tanzania ni hukumu la TBS kuainisha viwango na kuhakikisha vinafuatwa. Kushindwa jukumu lao, njia ni nyeupe, watu wameumia vya kutosha.
Sasa Kama wafanyabiashara walipeleka sampo ya bidhaa nzuri ,lakini kumbe kwenye mzigo wenyewe ndani yake kuna bidhaa feki.
Hauoni hapo Kama ni kazi ya polisi kukamata.?
 
Back
Top Bottom