Uchaguzi 2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

Ni kwasababu walijua watakaribishwa na kuruhusiwa kufanya wapendavyo; pamoja na kukata matanga, nondo zinaposhushwa. Kwa bahati mbaya kwao. Tumeshachoshwa na unafiki wao!
Hao majamaa sijui kama wanaonaga kitu aibu
 
TBC hawakupaswa kuondoka ktk eneo hilo, wameonyesha unyonge sana! jeshi la polisi lilikuwepo ambalo lipo pale kulinda watu wote na mali zao kwa nn waliondoka kutii amri ya mbowe?!huu ni udhaifu!! hawakupaswa kuondoka maana walikuwa pale kuripoti, na ifahamike kuwa tbc ni chombo cha wananchi wote,
ombi langu kwa uongozi, pangeni safu yenu vizuri ktk kipindi hiki cha kampeni, wekeni watu makini na imara ktk mchakamchaka huu, ondoeni watu walegevu na wasio jiamini........sio unaambiwa toka basi unaondoka kama vile mwizi au kibaka !!
lkn pia kauli ya mbowe kuwa fukuza waandishi kama wezi ambao walikuwa kazini ni kitendo cha uchochezi
Ndiyo washafukuzwa sasa hutaki kanywe sumu.

Nani asiye wajua tbc kuwa ni maadui wa upinzani wa kweli hapa Tanzania?

Tangu lini uliwahi kuwaona tbc wanarusha mikutano ya cdm?
 
Back
Top Bottom