Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wachana na mgogo huyo kutoka kwa Ndugaye huyoKwa jiwe hakuna kanuni....mpuuzi wew
Wachana na mgogo huyo kutoka kwa Ndugaye huyoKwa jiwe hakuna kanuni....mpuuzi wew
Aisee wewe jamaa ni mkali sana wa kuona mbali kama unatumia digital binocularLazima itafumuliwa iwe shirika la umma kweli kweli; hata jina litabadilishwa kuondoa kumbukumbu yake.
Hao majamaa sijui kama wanaonaga kitu aibuNi kwasababu walijua watakaribishwa na kuruhusiwa kufanya wapendavyo; pamoja na kukata matanga, nondo zinaposhushwa. Kwa bahati mbaya kwao. Tumeshachoshwa na unafiki wao!
Ndiyo washafukuzwa sasa hutaki kanywe sumu.TBC hawakupaswa kuondoka ktk eneo hilo, wameonyesha unyonge sana! jeshi la polisi lilikuwepo ambalo lipo pale kulinda watu wote na mali zao kwa nn waliondoka kutii amri ya mbowe?!huu ni udhaifu!! hawakupaswa kuondoka maana walikuwa pale kuripoti, na ifahamike kuwa tbc ni chombo cha wananchi wote,
ombi langu kwa uongozi, pangeni safu yenu vizuri ktk kipindi hiki cha kampeni, wekeni watu makini na imara ktk mchakamchaka huu, ondoeni watu walegevu na wasio jiamini........sio unaambiwa toka basi unaondoka kama vile mwizi au kibaka !!
lkn pia kauli ya mbowe kuwa fukuza waandishi kama wezi ambao walikuwa kazini ni kitendo cha uchochezi