japotenda
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 203
- 158
mbona mtoto pwenda alivamia kituo cha tv? Azam wameonesha TL akiomba michango ina maana hana alichoongea zaid ya michango? Tena wameonesha jukwaa tu. Kisha wakamuonesha polepole dk kibao, wamefanya vizur kuwatimua wanafik, Mbowe kesho timua AzamUkitaka kujua ni tatizo wangeguswa ata wale jamaa wa CPJ waliompa Melo tuzo ungewasikia.
Uwezi tishia usalama wa waandishi wa habari ndio maana ata katikati ya vita ukiuwa mwandishi wa habari hakuna atakae kuunga mkono.