Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,749
- 5,238
Fools,,hizo generator zinatwaliwa toka mbinguniUmeme hakuna kote, washa solar au generator
Fools,,hizo generator zinatwaliwa toka mbinguniUmeme hakuna kote, washa solar au generator
Wapi? Tabata hakuna 0446. Usingizi haupatikani.Umerudi mda huu 04:33 AM
Inasemekana gridi ya taifa imezimika baada ya mvua kuanza kunyesha usiku huu.
Nawapa pole Tanesco na bado niwatie moyo kujitahidi kuimarisha mifumo yao iweze kuhimili hata wakati wa mvua,ni vitu vya kawaida.Kama sehemu kubwa ya mkoa wa Dar na nchi tuko gizani hii ni hatari.
Kama nchi gani hizo?We pimbi sio kuogopa giza, miaka hamsini na ushee ya uhuru hamna umeme imara mnategemea nini....kuna nchi hata hawajui maana ya kukatika umeme..
wanaume wa dar bhana!
Wanaogopa mpaka giza
Umerudi maeneo yapi mm ninaona giza tu.dah mbona umesharudi!,,
umekatika kama dakika 3 tu,,,,
Inasemekana gridi ya taifa imezimika baada ya mvua kuanza kunyesha usiku huu.
Nawapa pole Tanesco na bado niwatie moyo kujitahidi kuimarisha mifumo yao iweze kuhimili hata wakati wa mvua,ni vitu vya kawaida.Kama sehemu kubwa ya mkoa wa Dar na nchi tuko gizani hii ni hatari.
Dar sio huko Kolomije ambako mnaishi kwa kulima mihogo! Mimi kwa mfano, all I make kinategemea online kwa 100%! Nitaingia vp online wakati hamna umeme?!! Hapa mimi mwenyewe nimeshituka kusikia tatizo ni national grid manake ningejua tatizo ni kubwa namna gani, nisingewasha laptop mida kama hii kwa sababu kazi zangu zinafuata Eastern Standard Time ambayo kwa sasa sio business hours!wanaume wa dar bhana!
Wanaogopa mpaka giza
Unaishi bush. Faida za umeme utazijuaje?wanaume wa dar bhana!
Wanaogopa mpaka giza
Hapo kwenye red,Inasemekana gridi ya taifa imezimika baada ya mvua kuanza kunyesha usiku huu.
Nawapa pole Tanesco na bado niwatie moyo kujitahidi kuimarisha mifumo yao iweze kuhimili hata wakati wa mvua,ni vitu vya kawaida.Kama sehemu kubwa ya mkoa wa Dar na nchi tuko gizani hii ni hatari.