dah mbona umesharudi!,,
umekatika kama dakika 3 tu,,,,
...Mkuu, huku Mbezi hadi sasa Saa Moja Kasorobo asubuhi haujarejea...dah mbona umesharudi!,,
umekatika kama dakika 3 tu,,,,
Kasema kuhusu kuogopa giza. Hajasema kuhusu kazi mtu anafanya. Pengine na yeye anategemea mtandao ila haogopi giza kama mwanaume wa Dar.Dar sio huko Kolomije ambako mnaishi kwa kulima mihogo! Mimi kwa mfano, all I make kinategemea online kwa 100%! Nitaingia vp online wakati hamna umeme?!! Hapa mimi mwenyewe nimeshituka kusikia tatizo ni national grid manake ningejua tatizo ni kubwa namna gani, nisingewasha laptop mida kama hii kwa sababu kazi zangu zinafuata Eastern Standard Time ambayo kwa sasa sio business hours!
Muhaya hajifichiDar sio huko Kolomije ambako mnaishi kwa kulima mihogo! Mimi kwa mfano, all I make kinategemea online kwa 100%! Nitaingia vp online wakati hamna umeme?!! Hapa mimi mwenyewe nimeshituka kusikia tatizo ni national grid manake ningejua tatizo ni kubwa namna gani, nisingewasha laptop mida kama hii kwa sababu kazi zangu zinafuata Eastern Standard Time ambayo kwa sasa sio business hours!
Kilichokufanya uhusishe na Uhaya hapo nini?! Au suala la online kwako ni big issue?! Au ndo ule Ukolomije niliousema?!Muhaya hajifichi
Kauli "tupo gizani" haimaanishi giza kama gizani bali ni kauli inayomaanisha kutokuwapo na umeme!! Hata kama mtu ataandika mchana ng'ombe anakula majani, bado anaweza kuandika "Dar ipo gizani" na kwa maana nyingine shughuli nyingi zinasimama!!Kasema kuhusu kuogopa giza. Hajasema kuhusu kazi mtu anafanya. Pengine na yeye anategemea mtandao ila haogopi giza kama mwanaume wa Dar.
kazini huendi au kula kulala?Wapi? Tabata hakuna 0446. Usingizi haupatikani.
Bora ingekuwa weekend ningekesha bar. Sasa alhamisi hii nakaa ndani kama libroiler.
Utakuwa lini?"Utakuwa"
Una maana gani?
Umri wote huo hauna kajenereta hata kamilioni 10 tu! Wenzio ukikatika kanajiwasha pyuu!We pimbi sio kuogopa giza, miaka hamsini na ushee ya uhuru hamna umeme imara mnategemea nini....kuna nchi hata hawajui maana ya kukatika umeme..
Mzee,bush maisha raha mustarehee.Unaishi bush. Faida za umeme utazijuaje?
Ila tuache utani mzee,Unaishi bush. Faida za umeme utazijuaje?
Kula kulala ana jeuri ya kukesha bar?kazini huendi au kula kulala?
labda unawezeshwa mkuu.Kula kulala ana jeuri ya kukesha bar?
Umri wote huo hauna kajenereta hata kamilioni 10 tu! Wenzio ukikatika kanajiwasha pyuu!
Soma vizuri, ni kamilioni kumi tu, wewe hauna?Jenereta zinatolewa bure au