Shirika la Umeme Tanesco kuomba radhi wateja wake Wa mkoa Wa Temeke

viatu virefu

Senior Member
May 25, 2015
165
20
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA KUOMBA RADHI MKOA WA TEMEKE.

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)
mkoa wa Temeke linaomba radhi wateja wake kutokana na kukosekana kwa umeme leo Jumapili Januari 24, 2016 kuanzia saa 4.00 asbh hadi saa 7.30 mchana.
SABABU kubwa ilikuwa ni hitilafu kwenye line ya umeme eneo la Bandari.

Maeneo yalikuwa yameathirika ni Kurasini na Mbagala. Mafundi wa Tanesco walifakiwa kubadili vifaa hivyo na maeneo yote kwa sasa yanapata umeme.

Uongozi wa Shirika uomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano TANESCO Makao Makuu.
 
Wabongo tumezoea, hata umeme ukikatwa mwezi mzima bila hata kauli ya TANESCO ya "tunawaomba radhi" poa tu kwa sababu tunajua limekuwa shirika la kuomba radhi tu miaka nenda rudi na kwamba hata wakikata kipindi chote hicho hatuna pa kuwashtaki.
 
mbona gharama ya "SERVICE CHARGE" hawasitishi?, Jamani mara VAT mara Service Charge!. Hivi kwenye meter za luku gharama ya service charge wanakata za nini? Au walikuwa wanazuga wananchi? TANESCO ni Bichwa la Mwendawazimu tuu!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom