sir venance
Senior Member
- Oct 26, 2017
- 151
- 222
Shirika la Tanzania social support foundation (tssf), linawatangazia wale wote waliokosa mikopo inayotolewa na hesbl kuwa, wanayo nafasi sasa ya kuomba mikopo kupitia shirika hili, walengwa ni wale wanafunzi wa mwaka wa kwanza na wale wa mwaka wa pili na kuendelea, hii ina makato ya 6 asilimia kwa mwaka, fomu zinapatikana ktk tovuti ya www.tssf.co.tz ,source tssf