Shirika la Reli Tanzania

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
Baadhi ya nyumba za lililokuwa Shirika la Reli Tanzania, kwa sasa TRL katika stesheni ya Mikumi. Watumishi wanaendelea kuishi kwenye nyumba hizi. Picha na habari toka kwenye blogu ya kaka Beda wa Lukwangule Ent. Ama kweli maisha bora kwa kila MTanzania yanakuja, tuendelee kuvuta subira kwani mambo mazuri hayataki haraka.

 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom