Alien pilot
Senior Member
- Dec 29, 2017
- 194
- 224
Kuna ujumbe unatumwa chrome kuwa Shirika la Posta Tanzania (Posts Corporation) linatoa zawadi za sumsung S10 endapo utakuwa umechaguliwa nao kucheza mchezo wao wa kufungua link yenye vibahasha.
Unapewa chaguzi tatu yaani mara ya kwanza unakosa, mara ya pili unakosa lakini ukifika ya tatu unapata kisha inakuja message ya kulipia gharama ya mzigo Tsh. 5490.
Inaonekana ni matapeli wanaotumia jina la shirika letu vibaya. Tunaomba uongozi wa shirika kutolea ufafanuzi kwa sababu linaweza kuwa suala la uhujumu uchumi na kuchafua jina la nchi na mashirika yake.
Unapewa chaguzi tatu yaani mara ya kwanza unakosa, mara ya pili unakosa lakini ukifika ya tatu unapata kisha inakuja message ya kulipia gharama ya mzigo Tsh. 5490.
Inaonekana ni matapeli wanaotumia jina la shirika letu vibaya. Tunaomba uongozi wa shirika kutolea ufafanuzi kwa sababu linaweza kuwa suala la uhujumu uchumi na kuchafua jina la nchi na mashirika yake.