nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Haaa uuwiii eti shirika la ndege litaanza kupata faida baada ya miaka 10,hii ni baada ya kufufuliwa,mbona sisi ATCL imepiga faida ya 29 billions ndani ya mwaka mmoja tena hayo maneno yamesemwa na Rais wetu kipenzi ambaye ni msemakweli mpenzi wa Mungu.Mje TZ mjifunze jinsi faida zinavyopigwa,serikali kwani inapataga hasara?