Shirika la ndege la Airways Green Africa laagiza ndege 100

Dibo10

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,298
1,563
Akizungumza na waandishi hivi karibuni CEO wa shirika la ndege la green africa ndugu Babawande amethibitisha shirika hilo limeagiza ndege 100 aina ya boeing 737 max 8 katika juhudi za kulijengea uwezo shirika hilo. Mpango huo madhubuti umelenga kutawala biashara ya ndege barani africa na duniani kiujumla. Wakati Tanzania ikiwa ktk juhudi za kulifufua shirika lake la ndege la ATCL ni muhimu kwetu kushirikiana na sekta binafsi na mashirika mengine ya ndege ktk kupambana na mashirika mengine makubwa
20181225_104421.png
 
Akizungumza na waandishi hivi karibuni CEO wa shirika la ndege la green africa ndugu Babawande amethibitisha shirika hilo limeagiza ndege 100 aina ya boeing 737 max 8 katika juhudi za kulijengea uwezo shirika hilo. Mpango huo madhubuti umelenga kutawala biashara ya ndege barani africa na duniani kiujumla. Wakati Tanzania ikiwa ktk juhudi za kulifufua shirika lake la ndege la ATCL ni muhimu kwetu kushirikiana na sekta binafsi na mashirika mengine ya ndege ktk kupambana na mashirika mengine makubwa
Wamelipa cash pia? Sisi bado tuko juu tunalipa taslimu arafu hatutaki kuungana na shirika lolote tunaweza, tayari tumetegeneza faida ya Tsh. 28bn kabla ya hi mpya kufika.
 
LONDON – Nigerian start-up Green Africa Airways has today confirmed a commitment for up to 100 Boeing 737 MAX 8 aircraft, split into 50 firm orders and 50 options.

The deal is worth an estimated $11.7 billion at current list prices, making it the largest Boeing aircraft order from an African carrier.

The announcement comes in as the airline begins to finalize proceedings to launch commercial operations.

Babawande Afolabi, Founder, and CEO at Green Africa Airways said that “Today is a historic day for the Nigerian and African aviation industry, this landmark deal takes us much closer to our long-held dream of building a world-class airline that will unlock a new realm of positive possibilities for millions of customers.”

“This deal is a bold symbol of the dynamism, resilience and soaring entrepreneurial drive of the next generation of Nigerians and Africans,” he added.

Based in Lagos, Nigeria, Green Africa Airways has been established with the goal of providing “quality and affordable air travel and to be a significant contributor to the economic development of Nigeria and the African continent.”
Airline Industry Heavyweights Joining In

The Nigerian carrier has recently been awarded its AOC from the Nigerian authorities.
 
Wabunge makini sana hususani wa upinzani na Watanzania wengi waelewa, Tumeshauri sana focus shirika letu la ndege iwe ndege ndogo na za kati ,kupokea wageni toka nje na soko la ndani.Hivyo serikali ilipaswa jikita hapo na kuboresha viwanja. Wageni toka nje kuboresha Mahusiano na vivutio mashirika makubwa ya ndege Kuleta wageni Tanzania.
Bado hatujachelewa tuuze ndege kubwa kabla uchakavu.
 
Hivi tycoon kama Alhaji Aliko Dangote, Africa's #1, akiamua si anaweza kuingiza hata 200 kwa mpigo? Inaonekana haja-pay attention sana kwenye aviation.
 
Akizungumza na waandishi hivi karibuni CEO wa shirika la ndege la green africa ndugu Babawande amethibitisha shirika hilo limeagiza ndege 100 aina ya boeing 737 max 8 katika juhudi za kulijengea uwezo shirika hilo. Mpango huo madhubuti umelenga kutawala biashara ya ndege barani africa na duniani kiujumla. Wakati Tanzania ikiwa ktk juhudi za kulifufua shirika lake la ndege la ATCL ni muhimu kwetu kushirikiana na sekta binafsi na mashirika mengine ya ndege ktk kupambana na mashirika mengine makubwaView attachment 976721
Just imagine. Huwa haziendi zote siku moja.
Kila wakipokea batch, waache kazi kwenda kuzipokea na kuwapiga vijembe wapinzani wao. Nusu mwaka kazi hiyo hiyo.
 
LONDON – Nigerian start-up Green Africa Airways has today confirmed a commitment for up to 100 Boeing 737 MAX 8 aircraft, split into 50 firm orders and 50 options.

The deal is worth an estimated $11.7 billion at current list prices, making it the largest Boeing aircraft order from an African carrier.

The announcement comes in as the airline begins to finalize proceedings to launch commercial operations.

Babawande Afolabi, Founder, and CEO at Green Africa Airways said that “Today is a historic day for the Nigerian and African aviation industry, this landmark deal takes us much closer to our long-held dream of building a world-class airline that will unlock a new realm of positive possibilities for millions of customers.”

“This deal is a bold symbol of the dynamism, resilience and soaring entrepreneurial drive of the next generation of Nigerians and Africans,” he added.

Based in Lagos, Nigeria, Green Africa Airways has been established with the goal of providing “quality and affordable air travel and to be a significant contributor to the economic development of Nigeria and the African continent.”
Airline Industry Heavyweights Joining In

The Nigerian carrier has recently been awarded its AOC from the Nigerian authorities.
Yaani.....kampuni binafsi 'private sector' inaagiza ndege 100 boeing 737 Max 8 kwa $11bn.....wewe serikali unayo jigamba kua Donner country unaagiza kamoja unafanya sherehe ya kitaifa eti unazindua na kupokea ndenge mpya nchi inasimama kwaajiri ya kandege kamoja unge aagiza 100 c ungefanya sherehe miezi miezi......lakini ujumbe ni kwamba plz don't kill private sector nimhimu na bora katika biashara kuliko serikali....nashauri serikali ingebaki kukusanya kodi kuweka sera wezeshi kwa private sector, na hela ya ruzuku ya airline iende kwenye huduma mhimu kama afya na Elimu na kilimo.....hapo wana nchi watawapenda na kuwathamini.
 
Wabunge makini sana hususani wa upinzani na Watanzania wengi waelewa, Tumeshauri sana focus shirika letu la ndege iwe ndege ndogo na za kati ,kupokea wageni toka nje na soko la ndani.Hivyo serikali ilipaswa jikita hapo na kuboresha viwanja. Wageni toka nje kuboresha Mahusiano na vivutio mashirika makubwa ya ndege Kuleta wageni Tanzania.
Bado hatujachelewa tuuze ndege kubwa kabla uchakavu.
Wazo zuri ila kumbuka wakati zimekuja zile pangaboi mbili za kwanza watu wengi walibwabwaja mara hooo ndege ni mbovu na maneno mingi mbofu mbofu kutoka kwa wananchi na Upinzani mfano Zito Kabwe.

Kuhusu viwanja nadhani vingi vipo kwenye ujenzi na karibuni tu tutakua na viwanja vya kutosha kila kanda.

Huu ni muda muafaka wa Private sector kuwekeza kwenye usafiri wa ndani kuhakikisha kila mmoja anaweza kumudu usafir wa ndege popote na kwa bei nafuu.
 
Yaani.....kampuni binafsi 'private sector' inaagiza ndege 100 boeing 737 Max 8 kwa $11bn.....wewe serikali unayo jigamba kua Donner country unaagiza kamoja unafanya sherehe ya kitaifa eti unazindua na kupokea ndenge mpya nchi inasimama kwaajiri ya kandege kamoja unge aagiza 100 c ungefanya sherehe miezi miezi......lakini ujumbe ni kwamba plz don't kill private sector nimhimu na bora katika biashara kuliko serikali....nashauri serikali ingebaki kukusanya kodi kuweka sera wezeshi kwa private sector, na hela ya ruzuku ya airline iende kwenye huduma mhimu kama afya na Elimu na kilimo.....hapo wana nchi watawapenda na kuwathamini.
Ushamba mzigo mkuu!
 
Back
Top Bottom