Shirika la Kusimamia Ubora(TBS) imulikeni EAA Tanzania

nsasa

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
310
413
Habari za jioni wanajukwaa
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada.

Mimi ni muagizaji mzuri wa magari Japan, UK
Kiukweli nakwazika mno na utendaji kazi wa kampuni ya EAA TANZANIA ambayo imepewa zabuni ya kukagua magari (na TBS) na kuyapa kibal cha kuingizwa kama yatakua yamekidhi vigezo
Niwakumbushe tu kampuni hii hua inalipwa dola 300 za marekani kwa kila gari linalokaguliwa.
Kinachosikitisha ni pale mteja unapoletewa gar mbovu, engine, au interior parts ambazo kwa kuangalia pichan huez gundua shida had zikaguliwe.

Najiuliza je hii kampuni inakua inakagua gari kikamilifu au hua wanapitisha tu!?
Binafsi nimekutana na kesi 2

1. Moja gari ilikuja imekufa shokap zote 4
2. Gari ilikuja engine mbovu haitembei ata hatua 10 inazima
Na gari zote zilikuq na certificate ya ukaguz na zilionyesha kupass

Wajuzi wa mambo nisaidien je hamna namna yeyote ambayo naweza kuwashtaki TBS kwa kunipa clear certificate wakat chombo n kibovu!?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu mwanzo kabla ya haya malalamiko, huyu mzabuni alivyopewa tu hii kandarasii watu walipiga kelele Sana kua hana uwezo wala uzoefu. Lakini waheshimiwa wetu huko TBS wakatupuuza. Imagine mtu unalipia gari ukiamini kua ni nzima badala yake unaipokea ikiwa mbovu.
Kwakwel nahis kuna mswail kaka maana kazi
Gari zinakuja mbovuuuu na zina cheti kipo clear


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena usiombe gar za Uk n mbovuuuuuu
Ndo io niliagiza lexus ilikuja shokap zote mbovu na gar imepass
Sijui hua wanakagua nn


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu ilim cost mkurugenzi wa TBS mpk akapelekwa mahakamani baada ya kutengeneza Co. hewa ya ukaguzi wa Magari huko Japan.

Hivi hizo gari za kutoka UK zinazokuja na hali hio maana yake hata MOT hazi kupass huko UK sio mkuu?
 
Tangu mwanzo kabla ya haya malalamiko, huyu mzabuni alivyopewa tu hii kandarasii watu walipiga kelele Sana kua hana uwezo wala uzoefu. Lakini waheshimiwa wetu huko TBS wakatupuuza. Imagine mtu unalipia gari ukiamini kua ni nzima badala yake unaipokea ikiwa mbovu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yamenikuta sana mkuu
Hivi hamna namna ya kuwashtak hawa jamaaa!?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
That why unauziwa bei nafuu coz ni used cars zingine ni used and defectives
 
Sidhan hata kama hua wanakagua
Maana gar ikija hata kwa macho unaona n kopo


Sent using Jamii Forums mobile app
Daah Shughuli hio,gari kama Benz,Bmw,Discovery,Range rover etc ikija Shock up zote 4 zimekufa/engine kimeo aisee hela itayokutoka hapo utatoka unatukana siku nzima.

Ndio maana wengine tuna prefer Japan huku,atleast kuna reliable Co's zenye office zake Dar/Mwanza Kama Be forward,trade car view etc gari ikija kimeo unauwezo wa kuzinguana nao.
 
Daah Shughuli hio,gari kama Benz,Bmw,Discovery,Range rover etc ikija Shock up zote 4 zimekufa/engine kimeo aisee hela itayokutoka hapo utatoka unatukana siku nzima.

Ndio maana wengine tuna prefer Japan huku,atleast kuna reliable Co's zenye office zake Dar/Mwanza Kama Be forward,trade car view etc gari ikija kimeo unauwezo wa kuzinguana nao.

Gari za UK, ujerumani n very risk
Na spare zake n gali sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
That why unauziwa bei nafuu coz ni used cars zingine ni used and defectives
Iwe na defects na certificate ioneshe hiyo defect kuwa injini yake mbovu. Kuliko certificate kusema kila kitu pass, halafu gari linafika, mita 10 linazima. Huo unakuwa ni utapeli.
 
Iwe na defects na certificate ioneshe hiyo defect kuwa injini yake mbovu. Kuliko certificate kusema kila kitu pass, halafu gari linafika, mita 10 linazima. Huo unakuwa ni utapeli.

Kabisa ni bora wakuambie ukwel kua tatizo lipo sehem flan uamue ununue au uache
Kuliko kila kitu pass af inakuja engine mbovu ad basi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah Shughuli hio,gari kama Benz,Bmw,Discovery,Range rover etc ikija Shock up zote 4 zimekufa/engine kimeo aisee hela itayokutoka hapo utatoka unatukana siku nzima.

Ndio maana wengine tuna prefer Japan huku,atleast kuna reliable Co's zenye office zake Dar/Mwanza Kama Be forward,trade car view etc gari ikija kimeo unauwezo wa kuzinguana nao.
Kwanza siku hizi china anatoa Mercedes benz..... Japan anatoa Volkswagen, BMW, rolls royce hivyo haina haja ya kwenda huko Ulaya kujipa risk. Hayo magari tajwa hapo juu viwanda vya huko vipo Under license.. . Hata befoward unaagiza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom