Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,053
Hapana inaweza kuwa kweli Kwa Sababu wanaenda Ukurein kama njia tu ili wasepe kwenda mataifa mengine ya Ulayahao waloenda Ukraine kuna kamba hapa ya wazi wazi.
Hapana inaweza kuwa kweli Kwa Sababu wanaenda Ukurein kama njia tu ili wasepe kwenda mataifa mengine ya Ulayahao waloenda Ukraine kuna kamba hapa ya wazi wazi.
Sasa waache Hawa WARUSI wa Buza waendelee kumpamba Putin,wenye kumjua in&out ndio wameshajiondoa huko🤔Boris Bondarev, mwanadaplomasia mzoefu wa Russia katika ofisi za UN Genevea amejiuzulu katika kazi yake akiandika barua kali inayosema anaona aibu kuhusishwa na matendo nchi yake kwa sasa na hawezi kuwa sehemu ya kinchoendela. Pia ameandika Putin ameigeuza Russia kuwa igizo la hofu kuu.
Sasa papa ana nini cha maana yeye afunge na kuomba asijiingize kwenye siasaTangu Putin akatae kuonana na Pope Francis nimemuona Mjinga sana
Siasa mbovu wanaoumia ni watu na kwa hali hiyo kiongozi yeyote wa kidini kunyamaza ni unafiki, ndio maana Askofu Janan Luwum alimshutumu Amin Dada kwa utawala wa kiimla kabla ya Amin kumuua.Sasa papa ana nini cha maana yeye afunge na kuomba asijiingize kwenye siasa
Urusi ubakie kufanya nini wakati makampuni yameshaondoka kwa vikwazo.Wengi wamekimbilia mataifa majirani na kwingine, japo wametumia mgongo wa kwamba wanakwenda kufanya kazi ila Urusi hakukaliki, taifa linapitia hali ngumu na ndio mwanzo tu....
FSB wameanza kutisha familia zao wawashawishi warudi, la kushangaza kunao wametorokea Ukraine kule ambapo kichaa Putin ameangukia pua kwa kuanzisha vita ambvyo vimemshinda.
More than 3.8 million Russians have left the country in the first three months of 2022, according to data from Russia’s Federal Security Service (FSB) published this week.
A total of 3,880,679 Russians traveled for work, business, tourism and private reasons between January and March.
Former Soviet countries saw significant spikes in arrivals after Russia invaded Ukraine on Feb. 24. Russians who fled out of opposition to the war were joined by those escaping rumored border closures, martial law and mass mobilization that have so far not materialized in the 72-day war.
It’s unclear how many of these Russians have since returned to their home country.
Georgia accepted 38,281 Russians in the first quarter of 2022, the FSB said, a nearly fivefold jump from the 8,504 Russians accepted over the same time last year.
A nearly fivefold increase was also seen in Tajikistan, where 40,054 Russians arrived this January-March compared with 8,857 in January-March 2021.
Nearly 4M Russians Left Russia in Early 2022 – FSB - The Moscow Times
More than 3.8 million Russians have left the country in the first three months of 2022, according to data from Russia’s Federal Security Service (FSB) published this week. A total of 3,880,679 Russians traveled for work, business, tourism and private reasons between January and March.www.themoscowtimes.com
Nchi ya kijasusi hiyo.. Miongoni mwao wengi Wana kazi maalum. Angalia tuu Aina ya nchi walizoenda.. Wanaji associate nao na kupata sympathy ya kutosha baadaye Dunia ikichafuka ndio utajua Hilo ni jeshi mlilolikaribisha. Watu wanafikiri na ku predict yajayo usidhani kila linalotokea ni kwa bahati mbaya. Narudia chunguza vizuri hizo nchi walizoenda in relation to source ya mgogoro huu since... 1990's.Wengi wamekimbilia mataifa majirani na kwingine, japo wametumia mgongo wa kwamba wanakwenda kufanya kazi ila Urusi hakukaliki, taifa linapitia hali ngumu na ndio mwanzo tu....
FSB wameanza kutisha familia zao wawashawishi warudi, la kushangaza kunao wametorokea Ukraine kule ambapo kichaa Putin ameangukia pua kwa kuanzisha vita ambvyo vimemshinda.
More than 3.8 million Russians have left the country in the first three months of 2022, according to data from Russia’s Federal Security Service (FSB) published this week.
A total of 3,880,679 Russians traveled for work, business, tourism and private reasons between January and March.
Former Soviet countries saw significant spikes in arrivals after Russia invaded Ukraine on Feb. 24. Russians who fled out of opposition to the war were joined by those escaping rumored border closures, martial law and mass mobilization that have so far not materialized in the 72-day war.
It’s unclear how many of these Russians have since returned to their home country.
Georgia accepted 38,281 Russians in the first quarter of 2022, the FSB said, a nearly fivefold jump from the 8,504 Russians accepted over the same time last year.
A nearly fivefold increase was also seen in Tajikistan, where 40,054 Russians arrived this January-March compared with 8,857 in January-March 2021.
Nearly 4M Russians Left Russia in Early 2022 – FSB - The Moscow Times
More than 3.8 million Russians have left the country in the first three months of 2022, according to data from Russia’s Federal Security Service (FSB) published this week. A total of 3,880,679 Russians traveled for work, business, tourism and private reasons between January and March.www.themoscowtimes.com
jiangalie wewe, hivi wajinga si ni sisi huku tunao shangilia covid 19 wale fedha za umma, tunaotumia mabilini ya umma kwa kubambika wapinzani kesiTangu Putin akatae kuonana na Pope Francis nimemuona Mjinga sana
Pope ana nini mkuu? I mean Pope ni nani kwa wasio Wakatoliki?Tangu Putin akatae kuonana na Pope Francis nimemuona Mjinga sana
kwani pope ,ndo Nani !?,pale sio kanisani .masuala ya siasa awaachie wanasiasa ,adili nakanisa lake,ambalo lina endekeza ulawiti !!Tangu Putin akatae kuonana na Pope Francis nimemuona Mjinga sana
Mkuu yapaswa ufahamu wazungu sio waswahili wa pale Tandale kwa mtogole., tokea anajuzulu hiyo nafasi tayari ameshasamehe kila kitu na kuuona ubinadamu, kama shida ni hela kwanini asingengangania hiyo ajira yake? wewe wa tandale utangangania hela kwa sababu ya njaaHawa ndio wajinga wanapandikizwa na EU na kupewa mahela ya kutosha na hifadhi, kwani vita imeanza leo? kwanini hakujiuzulu mwanzoni?
Tangu Putin akatae kuonana na Pope Francis nimemuona Mjinga sana
👍kwani pope ,ndo Nani !?,pale sio kanisani .masuala ya siasa awaachie wanasiasa ,adili nakanisa lake,ambalo lina endekeza ulawiti !!
Nchi ya kijasusi hiyo.. Miongoni mwao wengi Wana kazi maalum. Angalia tuu Aina ya nchi walizoenda.. Wanaji associate nao na kupata sympathy ya kutosha baadaye Dunia ikichafuka ndio utajua Hilo ni jeshi mlilolikaribisha. Watu wanafikiri na ku predict yajayo usidhani kila linalotokea ni kwa bahati mbaya. Narudia chunguza vizuri hizo nchi walizoenda in relation to source ya mgogoro huu since... 1990's.
Vita imeanza jana? siku zote hakuona hayo madhara? jibu swali usijifanye we ni wa NYMkuu yapaswa ufahamu wazungu sio waswahili wa pale Tandale kwa mtogole., tokea anajuzulu hiyo nafasi tayari ameshasamehe kila kitu na kuuona ubinadamu, kama shida ni hela kwanini asingengangania hiyo ajira yake? wewe wa tandale utangangania hela kwa sababu ya njaa
Hahaha vijana wa vijiweni haowanakuja kubishana sasa hiv na vitecno na viaitel vyao....vibichwa kama kabichi nyau....
Nakazia "hakuna mwenye akili timamu akakubaliana na upuuzi wa Putin" overHakuna mtu mwenye akili timamu atakubaliana na huu upuuzi wa Putin,nimeona na clip moja CNN kwa kipindi cha Don Lemon Warussi wako uwanjani wanashout kupinga vita na walikuwa ni wengi sana
We ni maamuzi mangapi unafanya ukiwa umechelewa? Na kuanza kutumia neno ungejuaVita imeanza jana? siku zote hakuona hayo madhara? jibu swali usijifanye we ni wa NY
Makali ya vikwazo yameanza kuonekana.Urusi Kwa sasa ni kuzimu iliyoko duniani .Wale mabilionea wa Urusi Mali zao;Pesa,Meli za kifahari:Yatch,Majumba ya gharama:villa,timu za mpira,etc yote yamepigwa tanchi huko Ulaya/Marekani.Sababu ya Andunje ,Putin🤔
Anabadilisha nini kwa kujiuzuru kwake, au kuna athari gani kwa utawala wa Putin, Mbona kuna mameya kama watano wamejiuzuru mwanzoni mwa hili sakata na operasheni inaendelea?We ni maamuzi mangapi unafanya ukiwa umechelewa? Na kuanza kutumia neno ungejua
We unajua hatua alizokuwa anazifata!
Basi hapo umejiona umeuliza swali gumu