Shirika la Ethiopian Airlines lagoma kusitisha safari za China. Lasema kuitenga China sio suluhisho

Nimeamini janga hilo limetengenezwa na Marekani wenyewe. waafrika na duniani kote 2tapata tabu sanaa,,,ivi sasa wafanyabiashara wanalia,,wanatoa stock,zikiisha bac tumekwisha wajomba,,,wale watetezi wa mashoga endeleeni kuwatetetea marekani na mashoga wenzie, mnaoumia ni ninyi msiojitambua. Mlimuona mchina mbaya sana n still mnatumia bidhaa zake za bei chee hata shukurani hamuna enyi viumbe.

Na mtanyooka tu mpaka akili ziwakae sawa
Agiza vitu Amazon au E-Bay uletewe Kitu original kutoka kwa Trump hatutaki hayo makopy ya kichina ...


Tumeshawapiga kombola la kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ethiopia na China wana urafiki wa mda mrefu sana
Lakini hiyo sio sababu kubwa
Tatizo ni Al Sisi kuitisha wakubwa wa majeshi ya Egypt na kufanya nao mkutano
Ingawa makamanda wamesema vita sio suluhu bali maelewano tu
...
... I can see the logic kwanini Abiy mara baada ya kuingia madarakani akatafuta suluhu ya mgogoro uliodumu miongo kadhaa baina ya nchi yake na Eritrea hatua iliyopelekea kutunukiwa Nobel Prize fasta.

That means intelijensia yao ilishaona mbali kwamba kutokana na ujenzi wa bwawa wanaloendelea nalo probability ni kubwa Egypt kujibu kijeshi so, ili kupunguza attacking angles, ilikuwa ni muhimu suluhu na hasimu mkubwa Etritrea iwe ni jambo la dharura ili kuondoa uwezekano wa kutumiwa na Egypt especially ku-deploy vifaa na batalion kwa njia ya bahari ambayo wao hawana access ya moja kwa moja na anga pia (air space). Jamaa wana akili sana!
 
... I can see the logic kwanini Abiy mara baada ya kuingia madarakani akatafuta suluhu ya mgogoro uliodumu miongo kadhaa baina ya nchi yake na Eritrea hatua iliyopelekea kutunukiwa Nobel Prize fasta.

That means intelijensia yao ilishaona mbali kwamba kutokana na ujenzi wa bwawa wanaloendelea nalo probability ni kubwa Egypt kujibu kijeshi so, ili kupunguza attacking angles, ilikuwa ni muhimu suluhu na Etritrea iwe ni jambo la dharura. Jamaa wana akili sana!

Umeelewa vizuri sana Mkuu
Ingawa majemedari wa jeshi wamemgomea Al sisi kwa vita
Na usa hana tatizo na ujenzi huo
Je Misri sijui watalibomoa
Yaani hawa Egyptian wanafikiri wana hati miliki ya huo mto?
Yaani ni kama slave contract


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Umeelewa vizuri sana Mkuu
Ingawa majemedari wa jeshi wamemgomea Al sisi kwa vita
Na usa hana tatizo na ujenzi huo
Je Misri sijui watalibomoa
Yaani hawa Egyptian wanafikiri wana hati miliki ya huo mto?
Yaani ni kama slave contract
... when it comes to Nile, Egyptians wanajihisi ni mali yao wengine hawana haki ya kuutumia hadi wanakera! Sijui msimamo wa Sudan ukoje kwani nao pia ni tegemezi kwa Nile lakini hawana makeke kama Egyptians.
 
Siombei vita nawala sitamani jamaa na watu wapigane maana najua watakao umia niraia wasiokua nahatia

Nanatamani mno kama ikitokea vita ambavyo siombei vitokee natamani ama ntatamani naomba ama ntaombea sana alsisi apasuke

Ila kila nikikaa nikitazama kufikiria nakuangalia wala siioni Ethiopia yakuisumbua MISRIMISRI Kwahapa Ama Kwasisi Waafrika Tutateseka sana Ikitokea Taifa Moja Likajifanya Kutaka Kupambana Nae

Mwisho:-Vita Vina Njia Zake Ijapokua Anaweza Akakaa Misri Ila Ni Probablity Tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona Misri aliwahi kufanyia Tanzania mikwara ya kumzuia asitumie maji ya Victoria, ila Tanzania ikawa na kiburi na kuyatumia mpaka leo yanafika Tabora, huyo Misri akabaki chali. Ni makelele tu, unamsemea kisa dini lakini hana lolote huyo.
 
... when it comes to Nile, Egyptians wanajihisi ni mali yao wengine hawana haki ya kuutumia hadi wanakera! Sijui msimamo wa Sudan ukoje kwani nao pia ni tegemezi kwa Nile lakini hawana makeke kama Egyptians.

Huyo ni kiherehere haswa Mbona Rwanda pia wanategemea sana huo mto lakini hatuwasikii
Yeye misri anategemea kwa kuwa ana jangwa na % kubwa sana ni Nile na uchumi wake wote ni hapo
Ndio maana analia sana


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mbona Misri aliwahi kufanyia Tanzania mikwara ya kumzuia asitumie maji ya Victoria, ila Tanzania ikawa na kiburi na kuyatumia mpaka leo yanafika Tabora, huyo Misri akabaki chali. Ni makelele tu, unamsemea kisa dini lakini hana lolote huyo.
... nadhani kiasi Tanzania inachochota kutoka Nile/Victoria it's just a "drop" compared to what Ethiopia is going to do ndio maana ya kwetu waliamua kupotezea vinginevyo tungeshadondoshewa makomobora ya kutosha (I mean vita)! Mzigo anaokinga Ethiopia sio wa kitoto ndio maana akili zimewaruka wamisri hadi kusuluhishana Marekani badala ya AU!
 
Agiza vitu Amazon au E-Bay uletewe Kitu original kutoka kwa Trump hatutaki hayo makopy ya kichina ...


Tumeshawapiga kombola la kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app



Eti copy and paste 😁 waswahili still mnaishi gizani,,,nani aliekupotosha bidhaa za mchina zote fake?? Ndio tatizo la wabongo mnaongea bila kufikiri 😁

Mchina anatengeneza,
1 Original products
2 Fake products

Unanunua kitu kutokana na uwezo wako wa kifedha,,,kila bidhaa na bei zake, OG ina price yake na FAKE pia ina price yake.


%kubwa ya waTanzania and all africans wanatumia bidhaa/vifaa vya kichina kama magari, pikipiki, graders, viwanda vya kutengenezea vitu mbalimbali n.k. kama co 70% basi 90% wanaotumia vya mchina. Barabara zote za Tanzania gari za mchina zimetawala.
 
Ethiopia ilianza ujenzi wa bwawa mwaka 2011 kipindi Egypt ina mgogoro wa kisiasa na wala hawakuishirikisha. Mikataba ya matumizi ya mto Nile inataka ukifanya mradi wowote kwenye mto utoe taarifa kwa member wanaonufaika nao, Ethiopia walikaa kimya. Sasahivi wamekamilisha 70% lakini tabu inakuja kuwa bwawa lao litatakiwa kubeba ujazo wa cubic metre bilioni 74 kwa ujumla. Wakati huo Misri inapokea ujazo wa cubic metre bilioni 55.5.
Sasa mnaona hata wakikinga maji yote ya mwaka hawajazi bwawa.

Majadiliano yalifanyika na Egypt akakubali kupokea kiwango cha chini kabisa cha cubic metre bilioni 40 ambacho kiliwahi kushuhudiwa mara moja tu kwenye ukame mkubwa. Bado Ethiopia hataki.
Ikapendekezwa basi Ethiopia atumie miaka angalau sita kujaza reservoirs za bwawa ili asiathiri maji yanayoenda Misri, bado hataki.

Ethiopia wanataka wajaze bwawa kwa muda mfupi kitu ambacho kitaathiri maji ya kilimo (Misri wanatumia irrigation tu na wanategemea Nile), itapunguza uzalishaji wa umeme kwenye mabwawa ya Misri.

Mikataba ya kikoloni ilisema Misri apewe kipaumbele maana hana maji mengine zaidi ya haya. Hawa wengine kina Tanzania, Uganda, etc wana vyanzo zaidi. Mikataba hiyo inaheshimika wala haipingwi. Wnatakiwa kuajadiliana sasa jana PM wa Ethiopia hakutokea kwenye mazungumzo baina yake, Trump na Al Sisi.
 
Historia ingekuwa inapigana Russia na Syria wangekuwa na hali ngumu dhidi ya uturuki

Najua kabisa uwezo wa misri ni mkubwa lkn sio wa kufanya Ethiopia aufyate kirahisi
Ethiopia hana historia ya kutisha katika vita kama Egypt,,,egypt alipigana na mataifa kibao ya ulaya yakimsaidia mkewe israel baada ya kuzidiwa na Egyptian soldiers.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ethiopia ilianza ujenzi wa bwawa mwaka 2011 kipindi Egypt ina mgogoro wa kisiasa na wala hawakuishirikisha. Mikataba ya matumizi ya mto Nile inataka ukifanya mradi wowote kwenye mto utoe taarifa kwa member wanaonufaika nao, Ethiopia walikaa kimya. Sasahivi wamekamilisha 70% lakini tabu inakuja kuwa bwawa lao litatakiwa kubeba ujazo wa cubic metre bilioni 74 kwa ujumla. Wakati huo Misri inapokea ujazo wa cubic metre bilioni 55.5.
Sasa mnaona hata wakikinga maji yote ya mwaka hawajazi bwawa.

Majadiliano yalifanyika na Egypt akakubali kupokea kiwango cha chini kabisa cha cubic metre bilioni 40 ambacho kiliwahi kushuhudiwa mara moja tu kwenye ukame mkubwa. Bado Ethiopia hataki.
Ikapendekezwa basi Ethiopia atumie miaka angalau sita kujaza reservoirs za bwawa ili asiathiri maji yanayoenda Misri, bado hataki.

Ethiopia wanataka wajaze bwawa kwa muda mfupi kitu ambacho kitaathiri maji ya kilimo (Misri wanatumia irrigation tu na wanategemea Nile), itapunguza uzalishaji wa umeme kwenye mabwawa ya Misri.

Mikataba ya kikoloni ilisema Misri apewe kipaumbele maana hana maji mengine zaidi ya haya. Hawa wengine kina Tanzania, Uganda, etc wana vyanzo zaidi. Mikataba hiyo inaheshimika wala haipingwi. Wnatakiwa kuajadiliana sasa jana PM wa Ethiopia hakutokea kwenye mazungumzo baina yake, Trump na Al Sisi.


Ethiopia analeta udada,,mwenzie ana akili nyingi 😁
 
Historia ingekuwa inapigana Russia na Syria wangekuwa na hali ngumu dhidi ya uturuki

Najua kabisa uwezo wa misri ni mkubwa lkn sio wa kufanya Ethiopia aufyate kirahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Romania, Serbia, Montenegro na Bulgaria zilipata uhuru baada ya Russia kupigana na Ottoman Empire kwenye vita tofauti. Crimea iliwahi kuwa chini ya Ottoman empire lakini Russia waliichukua.
Crimean war France, Britain na Ottoman Empire waliungana kuipiga Russia na wakaishinda, wakaiondoa uwepo wake Black sea. Leo hii Russia anayo fleet ya navy Black sea.
Hata Ugiriki ilipata uhuru baada ya kuwepo vita baina ya Ottoman empire na Urusi.

Effects zote hizo juu zinadumu hadi leo. Urusi alishawahi shindwa vita moja na Ottoman, the rest ni ushindi kwake.
Hiyo hali ngumu ya kihistoria unayosema sijui unaitoa wapi.
 
Back
Top Bottom