Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,131
- 27,067
Wakuu kuna bidhaa huwa natamani kuzinunua Aliexpress, ila shida inakuja kwenye shipping cost, unakuta bidhaa inauza usd 100 alafu shipping cost usd 400.
Swali langu kwa wanaoweza kuagiza hizi bidhaa wanatumia mbinu gani? Je, ni sahihi kuwa na cost za namna hiyo?
Swali langu kwa wanaoweza kuagiza hizi bidhaa wanatumia mbinu gani? Je, ni sahihi kuwa na cost za namna hiyo?