Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,863
- 54,096
Uache utoto na hizo nywele zako hadi kwenye ulimi.Watu wanakuwa wanapeana habari,utaalamu na mambo mema weye unafika na kuanza ku-dislike comments tu.Huo ni aina ya ulozi.Kwa siku ya leo ninazo 500, sijui wewe nikupatie ngapi!