robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 2,973
- 3,052
bila kusahau chatu wa kule makurugusi.Sio njaa ni imani za watu ushirikina. Fisi akigogwa hata barabarani wasukuma watasafisha hadi unyoya na damu.Fisi kwa imani zao anasadikika kuwa na nguvu ,bahati.Hata baadhi wacheza ngoma za jadi nguli huwafuga na kwenda nao katika matamasha kama kivutio na nguvu za ziada.
Sent using Jamii Forums mobile app
NB:
daladala ifahamike kuwa zimeongelewa baskeli za kubeba abiria. wenyeji wa dar msije kutafsiri ni Toyota Hiace
Sent using Jamii Forums mobile app