Hii ni lazima iwe habari ya Kwanza na ya muhimu pale TBC 1 leo saa mbili usiku[HASHTAG]#Habari[/HASHTAG]:Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika eneo la Nyaligongo Shinyanga wameandamana wakilaani tabia ya baadhi ya watu wanaopinga juhudi za Rais Magufuli za kulinda na kutetea raslimali za nchi.
Lissu kishatoa ushauri wake kama hamuutaki shauri yenu hana cha kupoteza zaidi ya makinikia.Tundu lissu aliko ana harisha kabisa na lile tumbo kama pipa
Mkuu mm naona haina shida sana ili mrad ujumbe umefika kwa walengwa kama wewe!. Hongera sana kwa kupitia hapaAcha unaa dogo, umeleta post tatu kwa habari moja. Waombe mods watoe hizo zilizozidi. Au unadhani kulazimisha kupost ndio utaonekana mzalendo?
ndio wanao tupa kura kila leoMtaweweseka sana na lissu!
"Ccm inapendwa na wazee, wasio na elimu na wanawake wa vijijini"
[HASHTAG]#NasubiriNoahyangu[/HASHTAG]
anapinga ripoti ya ywaweza leo!!!Tundu lissu aliko ana harisha kabisa na lile tumbo kama pipa
waliwaruhusu wamachinga kufanyia biashara katikati ya jiji, kesho yake yakawatimua.Bado unashikiwa Akili na chizi maarifa Lissu, si umwambie akaongelee mafyongo yake huko kwa wachimbaji uone atakavyopopolewa mawe!