Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,382
Bongo ukiwa BOCCO maisha lazima yakuNYOSSO.RIP DOGO
Ukifika huko usisahau kuniunganisha tupige kaziNamimi niko njiani naenda kujiunga al shabab maisha magumu
Tangulia sisi twajaPersonality disorders huchangia mambo ya aina hii, r.I.p.
Pia kwa umri huo,wengi wanakuwa bado wako katika himaya ya wazazi hasa kanda ya ziwa. Ukuchunguza sana,yawezekana ni wehu wa bangi na siyo maisha magumuKaua nafsi, mbona miaka 17 bado nafasi kubwa tu alikuwa nayo!
Kujiua ni kukanusha neema ya muumbaBora kajinyonga mapema kuliko kujinyonga na kuacha familia na watoto wadogo, Hana uvumilivu analala kwa baba yake na mama yake Afu anasema maisha magumu, atatambua ugumu huko aendako maana kujiua ni kukata ticket kabisa